MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Katika Hali isiyo ya kawaida Makamu Mwenyekiti na CCM na Spika mstaafu Mh.Pius Msekwa amechafuka ndani ya Bunge kama mwenyekiti wa Bodi ya Ngorongoro kujitwalia mamlaka ya kutoa maeneo ya kujenga mahotel ndani ya hifadhi ikiwa ni kinyume na sheria na mamlaka iliyotolewa kutokuruhusu tena uwekezaji ndani ya Hifadhi..Kambi ya Upinzani na CCM wote wamelisema na sijui nini kitakachotokea baada ya Hilo..Atakayesikia lolote basi tuambizane jamvini.