Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Mkuu kamfungulia Rose Kamili anadai fidia ya milioni 50 ya kutelekeza watoto.
Dr. Slaa amewatelekeza watoto kwa muda gani? Kama ni muda mrefu kwa nini muda wote hakuleta madai hayo mpaka siku anataka kufunga ndoa na Mshumbuzi? Kama jambo hilo ni la kwali alitakiwa muda mrefu tu kumdai Dr. Slaa Child support, kwa sasa kuna kitu nyuma ya pazia, na huenda wataishia mitini kama ilivyotokea kwa yule waliyemleta kama mume wa Mshumbuzi na hatujui kesi imeishia wapo na yule jamaa na barakashia yake ameishia wapi.