TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Mkuu wangu mbona hakuna uhusiano wowote na hii hukumu ya leo.
Vp mabomu ya k.koo? Nasikia unauza yebo yebo
Mkuu wangu mbona hakuna uhusiano wowote na hii hukumu ya leo.
Mkuu dogo hili? huyu ni rais wetu wa mwaka 2015 sasa unadhani atagombea vipi bila kuwa na mke mmoja.
Rose anahoja kwenye madai yake baadhi na zaidi kutangazwa kuwa mke halali wa Dr. Slaa, a wife by default. Lakini hana haki ya kumzuia Dr. Slaa kuoa mke mwingine kwani default marriage zinakosa supporting document ikiwemo inayosema ndoa ni ya mke mmoja au wengi. Wangefunga ya kanisani madai yake ya kumkataza Slaa kuoa yangeleta maana. Na madai yake dhidi ya Josephine ni dhaifu. Suala la nia yake Josephine naomba wenzangu tusiliangalie kisiasa hili suala tuliangalie kijamii zaidi hata ungekuwa wewe Josephine si ungepigania ndoa yako ukizingatia ufirst lady unanukia weeeeeeeee
kwa uelewa wangu mdogo wa kanisa katoliki, hawazitambua ndoa za aina hii. Wakatoliki wanazitambua ndoa ambazo zinatamko la mkataba tena mbele ya mashahidi. Embu check na mapadri na mimi nicheck nao then tutapeana jibu la uhakikaMkuu,
Maelezo yako ni sahihi lakini yangekuwa valid iwapo Slaa angemuoa Josephine nje ya kanisa katoliki. Kumuoa Josephine kanisani katoliki kunaashiria kuwa Slaa amedeclare kuwa hana ndoa nyingine. Kwahiyo, kuondoa utata huo Slaa anaweza kuoa bomani na hapo Rose hatakuwa na uwezo wa kuzuia kwa sababu ulizotoa...
Nampa sifa ya mama kama mwanamke ndio malezi yangu mkuu, mama sio aliyenizaa tu, wewe unavyomuita Mwl Nyerere baba wa taifa ni baba yako mzazi.
Kinachosikitisha zaidi ni kitendo cha Slaa kutokuwatunza watoto wake aliowazaa kwa sababu ya kulewa mapenzi!!!
Ndio maana mtoto wake mkubwa ana miaka 25 lakini hamuungi mkono baba yake...
Namuita mama kutokana na heshima ya mume wake Dr Slaa.
kwa uelewa wangu mdogo wa kanisa katoliki, hawazitambua ndoa za aina hii. Wakatoliki wanazitambua ndoa ambazo zinatamko la mkataba tena mbele ya mashahidi. Embu check na mapadri na mimi nicheck nao then tutapeana jibu la uhakika
Inaelekea huyu mama yako ni mpumbavu......
Kwa imani yake toka kwenye biblia imeandikwa "Mwanamke mpumbavu huiboma nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"
Wanawake wa ukweli hawaachwi na hata wakiachwa hawawi ving'ang'anizi walikokataliwa weweee
Dr slaa kwa vimwana ni balaa, ile picha aliyopiga wakati anampa Esther Wassira kadi inaelezea yote, jamaa ni balaa
Binafsi sioni kama kuna ukweli kwamba Dr. Slaa hakuwatunza watoto wake. Kama ingetokea hivyo kwa vyo vyote huyu mama Rose angemfungulia madai Dr. Slaa kudai child suppoort, hakufanya hivyo. Laeo amekuja kuchomekea hicho kitu baada ya kuona Josephine going to be expected first lady.
Imeandikwa: "wivu wa nyumba yako utanila!"
Mbona unamvunjia heshima mke wa Dr Slaa mpaka unamuita mpumbavu, heshima kitu cha bure.
Lini nimemkashifu Dr Slaa? Uzuri JF kuna hansard weka hizo kashfa.
Lini nimemkashifu Dr Slaa? Uzuri JF kuna hansard weka hizo kashfa.