STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Mwenzenu najitahidi kuelewa lakini sipati lolote ninalollifahamu kuhusu huyu mzee. kama mtendaji wa serikali nilitegemea kumsikia kila siku au pengine kila baada ya siku moja. lakini cha ajabu linapita Juma zima kimya. sisi ambayo tupo karibu na jimbo lake hatuna lolote tulinalolifahamu kuhusu yeye. Mwenye taarifa kuhusu huyu Mzee Nyooka anijuze Pleaseeeeeeeeeeeeee!!!!!!