Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema uzinduzi wa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, utafanyika ifikapo Aprili 26, 2014 katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baada ya kukamilika.
Alisema hayo alipofungua semina elekezi kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhusu mchakato wa kuelekea kuundwa kwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika katika Kituo cha Mtakatifu Gasper, mjini hapa jana.
Ni matarajio ya serikali kuwa Katiba mpya itakuwa imekamilika na kuzinduliwa ifikapo tarehe 26 Aprili 2014, katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar, alisema Pinda.
Source: http://www.ippmedia.
Nawasilisha.
Alisema hayo alipofungua semina elekezi kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhusu mchakato wa kuelekea kuundwa kwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika katika Kituo cha Mtakatifu Gasper, mjini hapa jana.
Ni matarajio ya serikali kuwa Katiba mpya itakuwa imekamilika na kuzinduliwa ifikapo tarehe 26 Aprili 2014, katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar, alisema Pinda.
Source: http://www.ippmedia.
Nawasilisha.