Pinda - Uchumi unashuka hebu angalia takwimu hizi ......

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Mshahara wangu umepanda kwa asilimia 12 kuanzia mwezi January mwaka huu, bei za bidhaa mbali mbali ni kama ifuatavyo:
View attachment 24175Jul-10 Feb-11 Ongezeko %
Mchele 1,100 1,750 650 59%
Mafuta ya kupikia (Korie 10l) 16,500 26,000 9,500 58%
Gesi ya kupikia - 15kgs 37,000 45,000 8,000 22%
Maji (Dawasco) - 1M3 650 820 170 26%
Diesel 1,500 1,800 300 20%
Maji ya kunywa (Uhai 1l) 500 600 100 20%

Mheshimiwa waziri mkuu, unaposema uchumi umepanda unamaanisha nini?? Kwangu mimi uchumi wangu uchumi umeshuka (in material forms) kama nilikuwa nalipwa laki 5 July 2010 na nikapata nyongeza ya 12% ina maana sasa niko masikini zaidi kuliko July 2010 kwa sababu sasa nanunu vitu vichache zaidi kuliko nilivyokuwa nafanya miezi 8 iliyopita na bei zinaendelea kupanda kila siku
 
Pinda anazungumzia uchumi wake mwenyewe na hao wachache waliomzunguka. Kwa kakundi hako ka wateule wachache, uchumi wao umekuwa ukipaa
 
betri National Special toka Tzs.350/= @ (Dec2010) hadi Tzs.700/= (Feb 2011) na........
 
betri National Special toka Tzs.350/= @ (Dec2010) hadi Tzs.700/= (Feb 2011) na........

Kweli?
Nina miaka kama 6hivi sija nunua betri,ila nakumbuka enzi zile zilikuwa 200 @betri
 
Mshahara wangu umepanda kwa asilimia 12 kuanzia mwezi January mwaka huu, bei za bidhaa mbali mbali ni kama ifuatavyo:
View attachment 24175Jul-10 Feb-11 Ongezeko %
Mchele 1,100 1,750 650 59%
Mafuta ya kupikia (Korie 10l) 16,500 26,000 9,500 58%
Gesi ya kupikia - 15kgs 37,000 45,000 8,000 22%
Maji (Dawasco) - 1M3 650 820 170 26%
Diesel 1,500 1,800 300 20%
Maji ya kunywa (Uhai 1l) 500 600 100 20%

Mheshimiwa waziri mkuu, unaposema uchumi umepanda unamaanisha nini?? Kwangu mimi uchumi wangu uchumi umeshuka (in material forms) kama nilikuwa nalipwa laki 5 July 2010 na nikapata nyongeza ya 12% ina maana sasa niko masikini zaidi kuliko July 2010 kwa sababu sasa nanunu vitu vichache zaidi kuliko nilivyokuwa nafanya miezi 8 iliyopita na bei zinaendelea kupanda kila siku

Mkuu unapozungumzia masuala ya mfumuko wa bei unaiharibu kabisa siku yangu. Hili suala lipo serious kuliko wanavyolichukulia hawa wanasiasa. Mimi nimeguswa sana na hali ya uchumi wa sasa maana mshahara wangu ulikuwa unaniwezesha kughalamia mahitaji ya msingi tu (basic needs) kutokana na mfumuko wa bei nimeanza natafuta ndani ya basic needs ni kipi nikitoe. Hebu fikiria kama imefika mahala nasitisha manunuzi ya sukari kwa kigezo kwamba siyo hitaji la msingi, hivi unategemea heshima ndani ya nyumba inaelekea wapi?
 
Mkuu unapozungumzia masuala ya mfumuko wa bei unaiharibu kabisa siku yangu. Hili suala lipo serious kuliko wanavyolichukulia hawa wanasiasa. Mimi nimeguswa sana na hali ya uchumi wa sasa maana mshahara wangu ulikuwa unaniwezesha kughalamia mahitaji ya msingi tu (basic needs) kutokana na mfumuko wa bei nimeanza natafuta ndani ya basic needs ni kipi nikitoe. Hebu fikiria kama imefika mahala nasitisha manunuzi ya sukari kwa kigezo kwamba siyo hitaji la msingi, hivi unategemea heshima ndani ya nyumba inaelekea wapi?
Watavunja nyumba za watu hawa jamaa, na anendelea kutoa taarifa za uongo sisi tunakaa kimya tuu!!!!!!!!! CDM wakisema eti watasababisha uvunjifu wa amani. Hivi ni nani anasababisha uvunjifu wa amani kuliko yule anayekupunguzia mahitaji ya msingi?????????
Anaye kunyima kula huyo ni adui kuliko adui mwingine yeyote yule, watu wanaishi kwa taabu na shida hadi kwenye nyumba unasema eti kuna amani?????

 
Mkuu unapozungumzia masuala ya mfumuko wa bei unaiharibu kabisa siku yangu. Hili suala lipo serious kuliko wanavyolichukulia hawa wanasiasa. Mimi nimeguswa sana na hali ya uchumi wa sasa maana mshahara wangu ulikuwa unaniwezesha kughalamia mahitaji ya msingi tu (basic needs) kutokana na mfumuko wa bei nimeanza natafuta ndani ya basic needs ni kipi nikitoe. Hebu fikiria kama imefika mahala nasitisha manunuzi ya sukari kwa kigezo kwamba siyo hitaji la msingi, hivi unategemea heshima ndani ya nyumba inaelekea wapi?

Pole mkuu, unajua hawa wanasiasa wanatuchezea akili kwa takwimu za kuzimu, sijui wanazitoa wapi?
 
Pedi(freestyle) 1,500 2,000 33.3%

Hii inaweza ikaonekana kama utani lakini hili ni hitaji la mhimu zaidi ya sabuni ya kuogea na inapopanda bei kwa zaidi ya 30% halafu wanatuambia uchumi umepanda ni kututukana kirejareja
 
Ashazoea kusema uongo huyo pinda ana sura ya kikulima kumbe muongo balaa ukitaka kumsikia utadhani unamuangalia kiongozi aliye serious na anamaanisha kile anachokisema kumbe ndita zake ni za usanii anawaza mengine! Unajua mi huwa namlaumu sana pinda maana najua mkwere ni mtu wa kujichekesha panapo hata majanga! Lakini huyu pinda ukimuangalia usoni unasema mmh huyu kiongozi anapozungumzia rushwa kweli anamaanisha, kumbe laah zile ndita na hudhuni aongeapo nh usanii mtupu! Waziri mkuu anakuwa anadanganya mpaka bungeni!
 
Pinda anazungumzia uchumi wake mwenyewe na hao wachache waliomzunguka. Kwa kakundi hako ka wateule wachache, uchumi wao umekuwa ukipaa

Na ndio maana wanataka mitambo ya dowans iwashwe ili mapato yaongezeke.
 
Wanasiasa na viongozi wengi wanafurahia maisha magumu ili tuwaonane babu kuwa wakitanua kwa sababu ya ufisadi. noma kweli.
 
Mkuu unapozungumzia masuala ya mfumuko wa bei unaiharibu kabisa siku yangu. Hili suala lipo serious kuliko wanavyolichukulia hawa wanasiasa. Mimi nimeguswa sana na hali ya uchumi wa sasa maana mshahara wangu ulikuwa unaniwezesha kughalamia mahitaji ya msingi tu (basic needs) kutokana na mfumuko wa bei nimeanza natafuta ndani ya basic needs ni kipi nikitoe. Hebu fikiria kama imefika mahala nasitisha manunuzi ya sukari kwa kigezo kwamba siyo hitaji la msingi, hivi unategemea heshima ndani ya nyumba inaelekea wapi?

Hili umesababisha mwenyewe kutokana na msimamo wako usio na maana , ona hili SIMTAMBUI JK KAMA NI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
 
Mshahara wangu umepanda kwa asilimia 12 kuanzia mwezi January mwaka huu, bei za bidhaa mbali mbali ni kama ifuatavyo:
View attachment 24175Jul-10 Feb-11 Ongezeko %
Mchele 1,100 1,750 650 59%
Mafuta ya kupikia (Korie 10l) 16,500 26,000 9,500 58%
Gesi ya kupikia - 15kgs 37,000 45,000 8,000 22%
Maji (Dawasco) - 1M3 650 820 170 26%
Diesel 1,500 1,800 300 20%
Maji ya kunywa (Uhai 1l) 500 600 100 20%

Mheshimiwa waziri mkuu, unaposema uchumi umepanda unamaanisha nini?? Kwangu mimi uchumi wangu uchumi umeshuka (in material forms) kama nilikuwa nalipwa laki 5 July 2010 na nikapata nyongeza ya 12% ina maana sasa niko masikini zaidi kuliko July 2010 kwa sababu sasa nanunu vitu vichache zaidi kuliko nilivyokuwa nafanya miezi 8 iliyopita na bei zinaendelea kupanda kila siku

Serikalini - the more they spend the economy growth.
 
Watavunja nyumba za watu hawa jamaa, na anendelea kutoa taarifa za uongo sisi tunakaa kimya tuu!!!!!!!!! CDM wakisema eti watasababisha uvunjifu wa amani. Hivi ni nani anasababisha uvunjifu wa amani kuliko yule anayekupunguzia mahitaji ya msingi?????????
Anaye kunyima kula huyo ni adui kuliko adui mwingine yeyote yule, watu wanaishi kwa taabu na shida hadi kwenye nyumba unasema eti kuna amani?????


Zikivunjika wasaidizi tupo hapa na kuwapa watakacho !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom