Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Mshahara wangu umepanda kwa asilimia 12 kuanzia mwezi January mwaka huu, bei za bidhaa mbali mbali ni kama ifuatavyo:
View attachment 24175Jul-10 Feb-11 Ongezeko %
Mchele 1,100 1,750 650 59%
Mafuta ya kupikia (Korie 10l) 16,500 26,000 9,500 58%
Gesi ya kupikia - 15kgs 37,000 45,000 8,000 22%
Maji (Dawasco) - 1M3 650 820 170 26%
Diesel 1,500 1,800 300 20%
Maji ya kunywa (Uhai 1l) 500 600 100 20%
Mheshimiwa waziri mkuu, unaposema uchumi umepanda unamaanisha nini?? Kwangu mimi uchumi wangu uchumi umeshuka (in material forms) kama nilikuwa nalipwa laki 5 July 2010 na nikapata nyongeza ya 12% ina maana sasa niko masikini zaidi kuliko July 2010 kwa sababu sasa nanunu vitu vichache zaidi kuliko nilivyokuwa nafanya miezi 8 iliyopita na bei zinaendelea kupanda kila siku
View attachment 24175Jul-10 Feb-11 Ongezeko %
Mchele 1,100 1,750 650 59%
Mafuta ya kupikia (Korie 10l) 16,500 26,000 9,500 58%
Gesi ya kupikia - 15kgs 37,000 45,000 8,000 22%
Maji (Dawasco) - 1M3 650 820 170 26%
Diesel 1,500 1,800 300 20%
Maji ya kunywa (Uhai 1l) 500 600 100 20%
Mheshimiwa waziri mkuu, unaposema uchumi umepanda unamaanisha nini?? Kwangu mimi uchumi wangu uchumi umeshuka (in material forms) kama nilikuwa nalipwa laki 5 July 2010 na nikapata nyongeza ya 12% ina maana sasa niko masikini zaidi kuliko July 2010 kwa sababu sasa nanunu vitu vichache zaidi kuliko nilivyokuwa nafanya miezi 8 iliyopita na bei zinaendelea kupanda kila siku