Pinda: Tuhukumuni sisi, kiacheni chama, Serikali

....... ya wafisadi wote akiwemo fisadi Mkapa na kama wakionekana wana hatia basi wafilisiwe. Hili likifanyika litarudisha credibility ya serikali kwa wananchi kwa kiasi kikubwa sana.

yah thats true,,,adhabu wanayostahili ni kufilisiwa na warudishe mali za umma,,,sie wala hatutaki wafungwe ila tunataka iwe fundisho kwa wote na kizazi kijacho kwamba mali ya umma ni ya umma na sio ya kuchota kama walivyofanya kinamkapa na masela wake bila hata aibu
 
tunakiukum chama kwa kushindwa kufanya maauzi kule butiama maamuzi ambayo watu waliyataraja na vilevile walitka yafanyike,,ila kwa kua ni wabinafs wakasindwa kuanya hivyo, so tunawahukum wao na hilo chama lao
Zanzibar ilichukuliwa kwa mapinduzi na haiwezi kabidhiwa kwa wapemba kwa makubaliano ya mezani,kama wana ubavu na basi wapindue na wao...mpemba kamwe hatotawala zanzibar wala tanzania.
 
Zanzibar ilichukuliwa kwa mapinduzi na haiwezi kabidhiwa kwa wapemba kwa makubaliano ya mezani,kama wana ubavu na basi wapindue na wao...mpemba kamwe hatotawala zanzibar wala tanzania.

Mkuu wangu. Inabidi hii kauli uinyumbulishe, mimi nikiwa ni mtu wa bara, mpemba kwangu hana tofauti na mguja, na wala hana tofauti na mmakonde wala mgogo, ni mtanzania kama wengine. Siamini kama wapemba hawana uwezo wa kuongoza, sioni kama wanatofauti yoyote ya uwezo wa kuelewa na watanzania wengine, kimsingi kauli yako siwezi kuikubali.
Unadhani mguja gani anayeweza kujisifu kuwa ametawala vizuri kisiwani kuliko mwingine? Kuna maajabu mengi yametokea Zanzibar mpaka mishahara ya wafanyakazi wa SMZ ilikuwa inalipwa kutokana na mikopo ya wafanyabiashara, tena wapemba ndio waliokuwa wanaikopesha serikali sasa leo wasiwe na uwezo.
Labda na wewe uwe umeingia kwen ye siasa za Salmini, za kupiga politikikutojali hali halisi!
 
Mkuu wangu. Inabidi hii kauli uinyumbulishe, mimi nikiwa ni mtu wa bara, mpemba kwangu hana tofauti na mguja, na wala hana tofauti na mmakonde wala mgogo, ni mtanzania kama wengine. Siamini kama wapemba hawana uwezo wa kuongoza, sioni kama wanatofauti yoyote ya uwezo wa kuelewa na watanzania wengine, kimsingi kauli yako siwezi kuikubali.
Unadhani mguja gani anayeweza kujisifu kuwa ametawala vizuri kisiwani kuliko mwingine? Kuna maajabu mengi yametokea Zanzibar mpaka mishahara ya wafanyakazi wa SMZ ilikuwa inalipwa kutokana na mikopo ya wafanyabiashara, tena wapemba ndio waliokuwa wanaikopesha serikali sasa leo wasiwe na uwezo.
Labda na wewe uwe umeingia kwen ye siasa za Salmini, za kupiga politikikutojali hali halisi!

Patam hapo mkuu....
 
yah thats true,,,adhabu wanayostahili ni kufilisiwa na warudishe mali za umma,,,sie wala hatutaki wafungwe ila tunataka iwe fundisho kwa wote na kizazi kijacho kwamba mali ya umma ni ya umma na sio ya kuchota kama walivyofanya kinamkapa na masela wake bila hata aibu

Pia watwambie kuhusu mabilioni yaliyochotwa toka BoT na kuingizwa CCM ili kugharamia uchaguzi mkuu wa 2005. Je, ni kiasi gani cha mabilioni hayo yaliingia CCM? Nani alihusika na ufisadi huo ndani ya CCM? Je kweli yaliingia CCM au yalipita njia tu na kuishia katika bank accounts za mafisadi zilizopo ndani na nje ya nchi? Je Pinda anayetaka kupindisha ukweli haoni kuchotwa kwa mabilioni hayo na kuingizwa CCM haikuhusishi CCM na ufisadi huo mkubwa?
 
Kama kweli ana nia ya kurudisha imani kwa Watanzania, basi cha kufanya ni kuiacha sheria ichukue mkondo wake dhidi ya wafisadi wote akiwemo fisadi Mkapa na kama wakionekana wana hatia basi wafilisiwe. Hili likifanyika litarudisha credibility ya serikali kwa wananchi kwa kiasi kikubwa sana.

Mimi siamini sana masuala ya sheria katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Sheria inasema mtu atahesabika anakosa pale tu mahakama itakapo thibitisha bila shaka kwamba ametenda kosa. Hiki ni kichaka kikubwa sana. Mafisadi wamejificha katika kichaka hiki.

Mimi ninatamani kuona jitihada za makusudi za kupambana na ufisadi kwa: -
a) Rais kuonyesha wazi kwamba unachukia rushwa na ufisadi.
b) Hatua za dharura zinachukuliwa kwa kila mtu anayetuhumiwa kwa ufisadi kwa kuanza na ile list ya Dr. Slaa (list of shame) kwani inaushahidi wa wazi.
c) Balali kurudishwa Tanzania na kufikishwa katika vyombo vya upelelezi (ili kuukamata mtandao wa wizi EPA)kisha mahakamani.
d) Walio husika na Richmond kufikishwa mahakamani.
e)Suala la mgodi wa Buhemba, Meremeta - Tan gold linatolewa ufafanuzi kwa umma na wanaohusika na wizi/forging etc kufikishwa mahakamani.

Bila kutekelezwa hayo mimi bado sishawishiki na jitihada za yeyote including Pinda, Kikwete etc kwamba wanajitahidi kurudisha imani kwa wananchi.

Haiingii akilini CAG anasema Tan gold siyo mali ya Serikali wakati huo huo karamagi na Chenge wanasema ni mali ya Serikali. Je hapo panahitaji tume?

The whole govt isn't serious, we are unluck, poor us.
 
mafisadi na viongozi wooote wa CCM pamoja na Pinda ni sawa na "ulimi na mate" kwa jinsi wanavyopatana kila kukicha...so ndugu zangu msitegee jipya kwa huyo bwana.
 
askofu akimbaka muumini kanisani au sheikh akila mali ya sadaka au hapa zihukumiwe ni dini ndio zinazoleta uchafu huo kwa kuwa viongozi wa dini wamefanya uchafu au ni viongozi ambao wameshindwa kufata mafunzo ya dini zao?
 
........
Waziri Mkuu alizindua tawi la CCM la Chuo Kikuu cha Tumaini katika shughuli iliyopangwa kutekelezwa muda mfupi kabla ya kurejea Dar es Salaam kutoka Iringa ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mei Mosi kitaifa juzi kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete.....

SOURCE: Nipashe [/size][/color]

Nimejaribu kufuatilia kwa takribani miaka miwili hivi sijaona JK akitembelea mikoa ya Iringa na Mbeya, je kuna nini?? Au ni coincidence ...?
Pinda asilete usanii wa Makamba: So far ni serikali ya CCM ipo madarakani na hao viongozi wa serikali wanateuliwa na kuripoti kwenye CCM, then CCM ndio ya kulaumiwa.
 
Zanzibar ilichukuliwa kwa mapinduzi na haiwezi kabidhiwa kwa wapemba kwa makubaliano ya mezani,kama wana ubavu na basi wapindue na wao...mpemba kamwe hatotawala zanzibar wala tanzania.

Du! Wewe Mheshimiwa kichwa chako ni kibovu kweli na unahitaji msasa wa hali ya juu.Sijui unaishi sayari gani? Kwani hakuna Wapemba (kwa kumaanisha watu waliozaliwa Pemba) ambao wana nafasi za uongozi katika nchi hii. Mwenye-enzi Mungu na akulaani na kauli zako za kishetani, Amin.
 
Five reasons why Pinda is worse than Sumaye.

1.Pinda cannot shut up.Sumaye knew he was and is a buffoon and was smart enough to be guardedly defensive and media shy, this is wearing thin in the past few days with the investors comment.There are people with what I call "Foot in mouth disease", give them a mike and ten minutes and you have yourself an original gem in the form of a gaffe

2.Pinda entertains the illusion that he is smart,as stated above, Sumaye knew he was empty and for that he was the wiser.

3.Pinda has that quiet arrogancy camouflaged by noisy showy humility (mimi mtoto wa mkulima) that is characteristic of some security people.Sumaye was a real mshamba who needed not label himself as such, in fact that was the sole reason he was trusted to be PM by mjanja Mkapa.

4.Pinda is claimed to be CCM MP's choice for PM, therefore must be feeling a sense of entitlement and vindication.This is dangerous indeed for somebody with no capacity for that increasingly technical and tricky office.The more confidence he has he represent the MPs and therefore the people, the more confidence he has to make blunders.

5.Pinda fancies himself a bright lawyer, complete with uncalled for and "out of job description" interpretation of laws.The lawyer /spy combination is dangerous indeed.One needs the integrity of an Eisenhower to condemn the hand that feeds him.Pinda can easily justify gross misconducts as a "lawyer" PM with security bias.Sumaye was all about keeping Mkapa happy and perhaps the wallet fat, as bad as that was, it can pale in comparison to the possible Pinda complex in disarray.
 
Kwikwiwkwiiiii....na wewe watu wanaweza kudai unajifanya unajua kila kitu na unajifanya umesoma sana na unadharau wenzio na kujiona kwamba wewe ndio wewe na kama unaweza kwa nini usiende ukazifanye hizo kazi wazifanyazo wao kama unaona wanachemsha....

Watu wanaweza kudai una insecurity flani flani hivi zinazokufanya u-behave jinsi unavyo behave. Wanaweza wakadai kila mtu anaweza kuwa mwanasaikolojia na kukugeuzia kibao na kuanza kuichambua nafsi yako.....
 
Kwikwiwkwiiiii....na wewe watu wanaweza kudai unajifanya unajua kila kitu na unajifanya umesoma sana na unadharau wenzio na kujiona kwamba wewe ndio wewe na kama unaweza kwa nini usiende ukazifanye hizo kazi wazifanyazo wao kama unaona wanachemsha....

Watu wanaweza kudai una insecurity flani flani hivi zinazokufanya u-behave jinsi unavyo behave. Wanaweza wakadai kila mtu anaweza kuwa mwanasaikolojia na kukugeuzia kibao na kuanza kuichambua nafsi yako.....

Nyani,

Nakuelewa.

Na wewe mimi naweza kusema unakuwa kama waandishi wa tabloids za bongo, wakitaka kusema kitu wao wanasema "watu wanasema" au "wachunguzi wa mambo wanasema" au "watu wanaweza kusema" watu gani hao waliokuchagua uwe msemaji wao?

Kama mimi ninajifanya najua kila kitu na wewe unaona si hivyo, uwanja mpana huu,ndiyo mana ya forum, unakaribishwa tuende toe to toe.Hapo utanionyesha mimi na ulimwengu unachofikiri.By the way sifikiri kwamba ninajua kila kitu, ila nina confidence yangu kwa vitu ninavyovijua.Kwa hiyo kama unaweza kuniconvine otherwise nitakushukuru kwa sababu that will have the distinction of being educational.

Watu wanaweza kudai una insecurity flani flani hivi zinazokufanya u-behave jinsi unavyo behave

Sasa kati ya mtu anayekata issue kwa confidence na ku invite scrutiny na mtu anayekuja ku whine bila hata kutoa positions zake nani ana insecurity? Mimi naweza kusema Nyani ana insecurity, hataki watu waandike kitu kisicho na urahisi wa one liners za "Waafrika ndivyo tulivyo" na akiona mtu anaandika kitu kirefu tu, regardless ya content anaanza kujishtukia with a lot of insecurities, na anaanza kuzi project hizo insecurities zake kwa wenzake.Kuna mtu aliongelea the psychological concept of projection hapa.Kama yule Mzee Seneta Larry Craig aliyebambwa chooni aki solicit gay sex, Mzee alikuwa mnoko sana kwa ma gay kumbe na yeye gay, alikuwa ana project u gay wake kwa kuwashambulia wenzake kwamba wako gay, an abomination to him.

Vipi Mkuu, una project insecurities zako kwangu, Larry Craig style?

Wanaweza wakadai kila mtu anaweza kuwa mwanasaikolojia na kukugeuzia kibao na kuanza kuichambua nafsi yako...

With all your talk of insecurities naona wewe ndiye unataka kugeuka mwanasaikolojia kunichambua halafu kama mwandishi wa tabloids unataka kuwasingizia "watu"

Kina nani hao watu, wataje basi!
 
Nyani,

Nakuelewa.

Na wewe mimi naweza kusema unakuwa kama waandishi wa tabloids za bongo, wakitaka kusema kitu wao wanasema "watu wanasema" au "wachunguzi wa mambo wanasema" au "watu wanaweza kusema" watu gani hao waliokuchagua uwe msemaji wao?

Kama mimi ninajifanya najua kila kitu na wewe unaona si hivyo, uwanja mpana huu,ndiyo mana ya forum, unakaribishwa tuende toe to toe.Hapo utanionyesha mimi na ulimwengu unachofikiri.By the way sifikiri kwamba ninajua kila kitu, ila nina confidence yangu kwa vitu ninavyovijua.Kwa hiyo kama unaweza kuniconvine otherwise nitakushukuru kwa sababu that will have the distinction of being educational.



Sasa kati ya mtu anayekata issue kwa confidence na ku invite scrutiny na mtu anayekuja ku whine bila hata kutoa positions zake nani ana insecurity? Mimi naweza kusema Nyani ana insecurity, hataki watu waandike kitu kisicho na urahisi wa one liners za "Waafrika ndivyo tulivyo" na akiona mtu anaandika kitu kirefu tu, regardless ya content anaanza kujishtukia with a lot of insecurities, na anaanza kuzi project hizo insecurities zake kwa wenzake.Kuna mtu aliongelea the psychological concept of projection hapa.Kama yule Mzee Seneta Larry Craig aliyebambwa chooni aki solicit gay sex, Mzee alikuwa mnoko sana kwa ma gay kumbe na yeye gay, alikuwa ana project u gay wake kwa kuwashambulia wenzake kwamba wako gay, an abomination to him.

Vipi Mkuu, una project insecurities zako kwangu, Larry Craig style?



With all your talk of insecurities naona wewe ndiye unataka kugeuka mwanasaikolojia kunichambua halafu kama mwandishi wa tabloids unataka kuwasingizia "watu"

Kina nani hao watu, wataje basi!

Aaah! basi bana...umeshinda! It's not that serious...Au vipi? Tuendelee kukata ishu....
 
Ila Pundit mimi unanionea bana....

Nyani,

Nitakuoneaje wakati mimi najibu hoja zako ulizotoa tu?

Nisingekujibu ungesema Pundit snob, au?

Wewe umelianzisha, mimi nilichokifanya ni kujibu hoja zako tu, sasa uonevu umetoka wapi hapo?

Tuendelee kukata issue.
 
Nyani,

Nitakuoneaje wakati mimi najibu hoja zako ulizotoa tu?

Nisingekujibu ungesema Pundit snob, au?

Wewe umelianzisha, mimi nilichokifanya ni kujibu hoja zako tu, sasa uonevu umetoka wapi hapo?

Tuendelee kukata issue.

Haya bana mkulu Pundit....wewe kata ishu na mimi niendelee na one liner zangu. Actually ngoja nihamie kule kwa Obama...maana leo ndio leo
 
Mie washaniboa hao wote wawili, nchi anachukua McCain anyway hata sielewi wanapigania nini.
 
Back
Top Bottom