..nadhani Pinda alimaanisha kwamba,kwa kiongozi anaetumia muda wake mwingi kuwaza na kupanga namna ya kuwaondoa watz kwenye umaskini walio nao, hana muda wa kuwaza habari za suti! utakuaje wewe kiongozi uko smart ilhali wale unaowaongoza wana midabwada??wakati wao kodi yao ndo inakupa huo ufahari??
Ni suala la kutumia common sense tu, namna ya kuco-ope na watu wa chini, ambao hawana uhakika na mustakabali wao kwa ujumla.
Ni suala la kutumia common sense tu, namna ya kuco-ope na watu wa chini, ambao hawana uhakika na mustakabali wao kwa ujumla.