huenda jumatatu ikawa mwisho wake wa kuwa waziri mkuu....jana amechukia sana alichofanyiwa na jk ile usiku....
amemfanyaje tena?
huenda jumatatu ikawa mwisho wake wa kuwa waziri mkuu....jana amechukia sana alichofanyiwa na jk ile usiku....
Kwani huyo rais anayengojwa yupo hospitali?
Kazi tuliompa anaiacha anaenda kuangalia nyanya brazil??
Si angeenda Ilula angeziona tena na wananchi waliochoka!
Ananitia hasira huyu mtu huyu!!
Watanzania tumezidi upole!
Hahaha Mizengwe Pita Halafu Pinda Uende ZakoKama ulikuwa humjui Pinda basi labda leo ndo utapata mwanga. Mizengwe! Pita halafu pinda uende zako, wengine watajiju.
popompo wewe, ushahambiwa waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa.
Kudadadeki nakunongoneza sasa waziri mkuu ni mheshimiwa shukuru kawambwa kwa kuwa anauzowefu wa kushika wizara nyingi mpaka sasa.
amemfanyaje tena?
Yale yale !
Usitegemee jipya mkuu