mkweree anarudi lini?
anaweza kuwa sahihi. inategemea maamuzi gani magumu ccm walifikia. kama waliambiwa waandike barua za kujiuzulu sidhani kama wangeziandika ucku na kumpelekea hotelini/nyumbani kwake ucku huohuo..Akihojiwa na waandishi wa habari amedai kwamba hajapokea barua toka kwa waziri yeyote
mafisadi hao utawafanyaje?nchi imeingia kwenye tope zito,wanasubiri karandinga la nguvu ya umma kuitoa.wizi mtupu
popompo wewe, ushahambiwa waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa.
Kudadadeki nakunongoneza sasa waziri mkuu ni mheshimiwa shukuru kawambwa kwa kuwa anauzowefu wa kushika wizara nyingi mpaka sasa.
mimi nasubiri mgao wangu maana nchi imeshapata mnunuzi!
changa la macho,ngoja nifungashe virago niwaachie li inchi lenu bwana loh!
Bora nikawe paka mwizi kwenye nchi za wenzetu kuliko kua binadamu bongo.