PINDA - Nitatoa Maamuzi yote Jumatatu

PM wa sasa kweli tunae lakini ukute JK anavyowapelekesha vikaoni inawafanya wawe waoga maana hawajui bwana mkubwa ata react vipi,JK mjanja sana hata ukiwa right anakugeuzia kibao anaingiza chama!ukipotoka anakuwasha kuwa kwa nini hujui wajibu wako!!anawavuruga sana watendaji wake!wanabakia hawana maamuzi!!!
 
Muda Mfupi uliopita Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda kamaliza mazungumzo na Waandihi wa Habari wa Vyombo mbalimbali na kusisitiza kuwa Taarifa kamili kuhusu Mawaziri wanaodaiwa kujiuzuru atazitoa rasmi Jumatatu atakapokuwa akiahirisha kikao cha Bunge.

Maswali ni mengi kwa kila nayeisikia kauli hii:

  1. Nini kimejitokeza hapa
  2. Kuna aliyezuia maamuzi haya yasipate baraka?
  3. PM kashikwa na kigugumizi gani?
  4. Mbona kila jambo katika kiako cha jana yalishafahamika mpaka maazimio?
  5. Kikao cha leo kilikuwa na Agenda gani?
  6. Ni kweli anasubiri baraka za Rais?
  7. Ilikuwa sanaa?
  8. Au ni mchezo gani unataka kufanyika hapa?
  9. Kwanini Spika kaahirisha Bunge bila kuusoma Muongozo uliohusu ufafanuzi wa Serikali juu ya suala hili?
  10. Kwanini wameiacha nchi katika sintofahamu kiasi hiki?

Ahadi yake ni Jumatatu

Tunaendelea kusubiri


ADIOS

Huyu Pinda abadiliki anasema atatoa mahamuzi j3 anasubili Vasco dagama aje ndo aongee yeye kama yeye ni joka la kibisa aligongi linapapasa papasa
 
Kwa kuwa hana uwezo wa kusema lolote anamsubiri mkuu wake aje amwekee mdomoni maneno ya kuongea
Hata kama ni kusubiri baraka za rais kwani hakuna mawasiliano kati yao kuw ahuku mzee mambo yameharibika arudi haraka
Aache kutalii hujko aliko
 
........Ndio maana walishindana na EL maana yeye papo kwa papo sio lazima akaulize kwa Riz1 kwanza!!!
 
JK kaumbuka maana anamsubili Rose Migiro,waziri mkuu wa Tanzania hana meno ndiyo maana JK alimpa anjua hana maamuzi yeye ni mwoga

popompo wewe, ushahambiwa waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa.
Kudadadeki nakunongoneza sasa waziri mkuu ni mheshimiwa shukuru kawambwa kwa kuwa anauzowefu wa kushika wizara nyingi mpaka sasa.
 
chaguo la Kikwete ilikuwa el na haya juu ya Pinda ni mazingaombwe tu. Yule baba wa watu kwa kujitetea alisema kuwa yeye ni Bangusiro tu. Je wabunge walichua hatua juu ya kauli hii? Issue ya Jairo pinda alisemaje! Na kikwete alirejea Tanzania alichukua maanuzi yepi. Watanzania wanafili. alisemaje
 
Haya bana,kweli pinda kapinda.Leo akuanza kilialia alipokuwa anaongea na waandishi wa habari???
Acha niingie library ni kapige shule ili nitengeneze GPA.Manake siasa za MAGAMBA hakuna aja ya kufuatilia matokeo,siku zote mawazo yao na maamuzi yao ni yaleyale.
Naamini baba mwanaasha akirudi lazima aunde tume ya kutokuwa na imani na ripoti ya CAG.
 
Katika hali ya kawaida na kwa kiongozi anayewajibika kwa wananchi wake haiwezekani kunapotokea maswala mazito ya kitaifa kama haya ya wabunge kutaka kumwajibisha waziri mkuu, Rais wa nchi awe nje ya nchi akivinjari/kutalii na kuhudhuria misiba!

Hii ni dharau kubwa sana ambayo Watanzania tunafanyiwa na JK. Wakati umefika tuzinduke na kumwonyesha kuwa tumechoka kudharauliwa na kiongozi asiyejali maslahi ya taifa.
 
Nundu kachanganyikiwa... ANALIA MACHOZI HAYATOKI....
ana cheka cheka kwa pressure ya kupanic....huku ana jibu mambo ambayo hajaulizwa..... Maskini kachanganyikiwa....
Alikuwa anakigugumiziii na anapiga piga tu meza....
Chezea MALI YA UMMA.....
 
huenda jumatatu ikawa mwisho wake wa kuwa waziri mkuu....jana amechukia sana alichofanyiwa na jk ile usiku....
 
Kwani huyo rais anayengojwa yupo hospitali?

Kazi tuliompa anaiacha anaenda kuangalia nyanya brazil??

Si angeenda Ilula angeziona tena na wananchi waliochoka!

Ananitia hasira huyu mtu huyu!!
Watanzania tumezidi upole!
 
kweli nimeamini Pinda ni muongo .... kutwa kudanganya tuu .... huyu sijui huwa anakwenda kusali ili imsaidie nini? au uongo wake uzidi kuonekana ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom