Jallen
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 517
- 196
Kwa kuwa katiba inasema Rais atashauriana na Waziri mkuu kuteua mawaziri basi bila shaka waziri mkuu wa kushauriana nae ni Pinda.
Kama Pinda alishindwa kuwakemea mawaziri waliopo je hao watakaoteliwa leo atawaweza.
Hii ni kujaza mvinyo mpya kwenye chupa kuukuu. Baraza lilitakiwa livunjwe apatikane waziri mkuu mwingine, aidhinishwe na Bunge kisha akashauriane na Rais katika kuteua mawaziri wengine. Hata wakiteuliwa mawaziri wazuri kiasi gani upole wa PM ni tatizo pia.
Kama Pinda alishindwa kuwakemea mawaziri waliopo je hao watakaoteliwa leo atawaweza.
Hii ni kujaza mvinyo mpya kwenye chupa kuukuu. Baraza lilitakiwa livunjwe apatikane waziri mkuu mwingine, aidhinishwe na Bunge kisha akashauriane na Rais katika kuteua mawaziri wengine. Hata wakiteuliwa mawaziri wazuri kiasi gani upole wa PM ni tatizo pia.