Sikusema SUMRY EXP imeanza baada Handsome Pinda kupewa u-PM, wala sikusema amejenga Uwanja wa Ndege Mpanda kwa pesa yake lakini swala linakuja hivi vyote vimekuja fasta mara baada ya yeye kuingia kuwa PM, hapo sijazungumzia kuhusu kuanzisha mkoa wa KATAVI maana hata bibi kiroboto alipewa wake wa NJOMBE so ni suala la kupeana hata Sumaye alijimegea MANYARA huenda NDESAMBURO akiwa PM nae akajipatia mkoa mpya wa KIBOROLONI. Mimi binafsi naamini kwenye usawa maana kwa nini iwe RUKWA?MPANDA tena baada ya yeye kuwa PM? na sio mikoa mingine? kwenye hayo mabasi ya SUMRY nakubaliana na nyie ushahidi nitatoa kesho saa 5 asubuhi pale Maelezo Dar es Salaam, samora Avenue. nimeshafanya Booking ya kupata nafasi muda huo. karibuni nyote. Watanzania tuzinduke tusianze kumlaumu mtoa mada kesho nikitoa ushahidi ninyi makada sijui mtaficha siri hiyo wapi. KWA STYLE HII YA MAJADILIANO HUMU NIMEGUNDUA ni kazi rahisi sana kuwaibia watanzania na wasishtuke.
Samahani, hivi Yule bibi kiroboto kule mjengoni anadaiwa kumiliki mabasi gani vile? Naomba kukumbushwa
Huyu mwanzilishi wa hii thread atakuwa mfuasi wa Maige.
Kale Kazee hakawezi kuwa na mali ya kifisadi Ni mwanafunzi mzuri sana wa late Jk, labda awe amejifunza kwa Gvment hii.
Hayo mabasi sina uhakika kama pm anayamiliki nachojua ana hisa kwenye kampuni moja ya kutengeneza mbegu za mazao jijini Mbeya
CCM kwa sasa kila mtu anakwiba cha msingi uwe na mtu wa kukukingia kifua
Kama kwa Pinda mmekataa kwamba haiwezekani na wewe toa uthibitisho wa mama Makinda kuwa na mkono kwenye hilo,Makeyale ni tajiri mmoja anaitwa supar feo wa songea japo inasemekana na mama Makinda ana mkono wake.!
. kama wamehama ndio vizuri kuwataja sasa, lakini kwasababu ni watu wakubuni huta wataja.. Uanzishe biashara ya ku export majungu na uzushi, Labda hicho kitakusaidia lakini sio kazi unayoifanya sasa. la sivyo hizo ni POROJO, na tutazidharau na kuziacha hapa hapa[/QUOTE
Alfred Ngowi sijui kama ni real name au ni ID 20 nimesoma ubishi wako humu naona kama vile una maslahi binafsi,na pia aina fulani ya ubishi amba hauwezi kumtofautisha na mtu ambaye hakwenda shule,mjinga fulani yaani ubishi wako hauna point yenye mashiko unabisha tu ilimradi unajua kufungua jf na kuanza kuongea
Unachokikataa hapo ni nini? Wewe ni mke wa Pinda unajua kila kitu alichonachp? Au unabisha tu uonekane upo? Ifikie sehemu heshimu anachosema mtu na chanzo chake cha habari,unataka awataje ili uwafanye nini we kapuku? Walioficha tu pesa Uswiss hawajatajwa sembuse hao waliosema Pinda anamiliki Sumry acha ubishi wa kipumbavu kuna watu na akili zao wanaosoma jf
Wanajmvi huyu jamaa kwa nje anaonekana msafi kiundani ni mchafu kupitiliza toka aukwae u-PM amekomaa kuchota pesa zetu na kuzipeleka kwenye SUMRY EXPRESS na sasa wameona kama wanashtukiwa wamenunua kampuni ya MBEYA EXPRESS kupotezea. Hebu cheki ule Uwanja wa ndege MPANDA ulivyotengenezwa fasta. Pia, alitaka Yambesi awe Katibu mkuu kiongozi kwa sababu wanatoka wote RUKWA mzee Luhanjo akamzidi kete kwa kumpendekeza best yake mzee OMBENI. Kuweni makini na huyu mtu nje anajifanya anamwaga chozi kumbe fisadi kiaina. Zaidi anajidai anapigia debe kilimo kwanza kumbe ndo anapofisadi kuanzia Matreka,Mbolea etc.......MKUU TUMEKUSHTUKIA