Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,427
- 911,172
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuna serikali....
nyerere aliwahi kusema...serikali corrupt yo yote ile hushughulika na vitu vidogo vidogo tu, kama kukimbizana na wamachinga badala ya kukimbizana na wakwepa kodi, badala ya kuboresha miundo mbinu ya miji yetu na kununua vitendea kazi bora, PM mzima anadeal na bajaji!!!!
Is this government serious...................................kweli ni moto upi bajaj itauzima??????????????????????????????
hapa ndipo nionapo viongoz wetu hawapo serious na mambo serious-kweli utatumia bajaji as fire fighter truck?au as gar la wagonjwa?Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikagua Bajaj ambayo imetengenezwa ili kumudu kazi ya kuzima moto hasa kwenye maeneo yenye barabara nyembamba katika maonesho yaliyoandaliwa na Kampuni ya Spray and Fumigation Services Limited, bungeni Dodoma Alhamisi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Akili za Pinda na punda ngoma droo
Yaani mpaka niite bajaji ina huo moto utakuwa umenishinda kweli? Maana moto huo hata nikiumwagia haja ndogo yangu utazima,wabongo bado tuna safari ndefu...
Hawa watu ni wa kutandika viboko. Hivi kweli bajaji zimamoto zinaweza kumudu uzimaji moto mkubwa? Assume moto umetokea ghorofa ya sita kwenye jengo fulani. Kisha unapeleka bajaji pale, sina hakika katika hayo matenki ya maji yana ujazo kiasi gani kuweza kuzima mto mkubwa.
Can't we be serious for 1 minute?
Is this government serious...................................kweli ni moto upi bajaj itauzima??????????????????????????????