lnawezekana wanausalama wamtishia you never know.Labda wamempiga bit na wemetoa serious threat.Kuna rumours kwamba usalama wa taifa wana monitor nyendo zake na every move he makes.Anyway if that's the case then hao the so called wanausalama hawaewezi wakamtisha Mungu because He God will send them straight to hell for stealing our votes wewe waache wafanye watakavyo kama walishiriki kuiba na wanazuia habari hizo kutolewa then God will send them straight to the depth of hell.It's only a number of days before God send each one of them to the depth of hell wakaishi huko kuzimu na baba yao shetani maana wao wote ni mashetani wakubwa