Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamani mimi naomba niwatoe hofu kuhusu kimya cha Dr. Slaa.
Kwanza Dr.Slaa ni mtu wa Takwimu na Documents halali kwa hiyo amejichimbia kukusanya document za wizi wa kura na kuhakikisha sheria inafuatwa.
Halafu alishasema hapendi kwenda ikulu huku damu ya mtanzania inamwagika kwa hiyo anaangalia upepo ili kuona kwamba anachokifanya ni sahhi mbele ya sheria.
Lengo ni kuwaeleza watanzania wanaelewa uchakachuaji uliofanywa ili next time walinde kura zao.
Kwa hiyo kimya cha Dr. Slaa hakina maana nyingine kwa sababu chadema itaingia ikulu kwa nguvu za kulinda kura kama ilivyo Ubungo, Karatu, Mbeya, Shinyanga, Mpanda mjini, Musoma Mjini, Mwanza, Arusha, Kawe, Rombo, Iringa, Mbulu.
Najua CCM nao wataesema watalinda kura 2015, Nasi tutakuja na mbinu nyingine.
Peoples Power
NASISITIZA KIMYA KIMESHATOSHA, TUNATAKA TAMKO LA CHAMA. PERIOD. MBONA MPENDAZOE AMEVUNJA UKIMYA? CHAKULA KIKIWA BADO CHA MOTO NDIO KITAMU, HILO TAMKO LIKISHACHELEWA HALITAKUWA NA MAANA YOYOTE, WALA HALITAPOKEWA KWA MSISIMKO WOWOTE NA WANANCHI. HII KWANGU BINAFSI NI KERO
c.r.a.pme nadhani anaogopa kuwaomba radhi watz kwa nukuu za uongo ambazo amekuwa akingizwa mkenge na wanausalama wake.
Ajitokeze hadharani tunamsubiri.
MKUU MIMI NAKUUNGA MKONO KAMA SIO MIGUU YOTE MIWILI, NINA UHAKIKA DR SLAA NI MZALENDO WA KWELI, HAWEZI KUTUSALITI WATANZANIA, ILA HICHI KIMYA HATA MIMI, KINANITIA MASHAKA, SISI WENGINE HUKU MTAANI WATU BADO WAMETUNUNIA, SASA WAO WANAKWENDA KUCHEKA NA HAWA MAFEDHULI! BASI TUNAOMBA KUSIKIA TAMKO LA CHADEMA ILI MIOYO YETU ITULIE. KWA KWELI HAFADHALI MPENDAZOE NIMEMUELEWA, AMEFANYA KILE WANANCHI WANAKITALAJIA, SASA KWA NINI CHAMA MAKINI KAMA CHADEMA HAKIJATOA TAMKO LAKE KAMA CHAMA? DEMOKRASIA YA KWELI NI PAMOJA NA KUHOJI NA KUDADISI, HAPA NAOMBA MAELEZO KUTOKA CHADEMA:A S angry:
unataka tamko gani zaidi ya kusema uchaguzi kura zilichakachuliwa. Alishasema wa kumwaga damu ni wale wenye dola usimtie matatani mzee wa watu. Mmeshindwa kumuunga mkono ili apata kura nyingi na hamkufanya hivyo na bado mnashinikiza tamko. To hell.
c.r.a.p
Pinda anasema bwana safari hii umetupiga sawa sawa, kama sio kutumia mbinu za ziada tungeenda na maji.