Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
Huyu pinda ni mnafiki sana
Jina lake ni mizengo Kayanza Pinda! ana uniform za kikomunisti bado mpaka leo! waziri mkuu wa china mwaka 1967 Chuo En Lai alikataa kuvaa nguo za suti za west na kabuni nguo za kiana yake ambazo karibia viongozi wengi wa kitanzania wanazo. basi mimi nikiwaona nazo ktk picha magazetini nasikitika sana .