Pinda kukutana na Madaktari Dar, Je anaingilia mamlaka ya Bunge?

Tunajua kamati ya kudumu ya bunge imepewa jukumu la kushughulikia hili swala, sasa Pinda kuingilia wakati alishatoa amri zake ambazo hazijatekelezwa, mimi naona anaingilia mammlaka ya bunge ikumbukwe kuwa kamati ya Bunge bado haijatoa ripoti yake!
Kama anataka kuongea na Drs ni lazima atueleze kwanza kamati imetoa mapendekezo gani!
 
Waziri mkuuu,asalimu amri yupo dar sasa kusolve issue ya madakatri wote ,internspamoja watumishi wengine muhimbili,si alichimba mkwara atawafukuza sasa asalimu amri

Hatimaye kaamua kuwa jiwe la chumvi. Uwaziri mkuu mtamu! Yuko tayari akalie mbele ya madaktari aliotangaza kuwafukuza kazi kuliko kujiuzulu. Ngoja madaktari wamtake na yeye ajiuzulu!
 
@kimbunga, pinda amekubali kula matapishi yake, na isitarajiwe tena selikali kutumia vitisho kusapress madai ya raia wengi wamejifunya kwamba ukikomaa selikali hnafyata!
 
Bado sijaelewa ni kwanini rais hajaonekana (hata kwa mbali) kutaka kutatua huu mgomo wa madaktari? Anahisi pengine huu mgomo umejaa mitego toka kwa mahisimu wake? Kuna nini hasa mpaka akae kimya kwa jambo kubwa kama hili?
 
Pasco ni mcheza shoo namba moja kwenye sakata la madaktari, alikata viuno hapa kuliko yondo sister, naona hoi sasa
user-online.png
Pasco

30th January 2012 11:24
#1
JF Premium Member Array


Join Date : 22nd September 2008
Posts : 5,811
Rep Power : 1987



[h=2]
icon1.png
Opinion Question: Jee JF Ni Wachochezi?!.[/h]
Wanabodi,

Hili ni swali linaloibuka from opinion, jee kunauwezekano jf ni wachochezi?.

Swali hili linafuatia kinachoendelea sasa kwenye huu mgomo wa madaktari, does jf take side?.

Hapa nazungumzia matukia yanayoendelea baada ya serikali hapo jana kuwaamuru madaktari warejee kazini, huku madaktari wenyewe wakishikilia msimamo kuwa leo harejei mtu.

Asubuhi imepandishwa thread kuwa mgomo unaendelea na mikao inayoendelea na migomo ikatajwa. TBC katika taarifa yake ya habari ya saa 4:00 asubuhi hii, imetangaza na kuonyesha taarifa za mashuhuda wake wakituletea habari na picha, baadhi ya madaktari wa mikoani wamerejea kazinina baadhi ya maeneo huduma zimerejea kama kawaida!.

Mode wa jf, akaichukua ile post ya mgomo kumalizika na kuiunganisha na ile post ya mgomo unaendelea!.

Naelewa uwezo, haki na uhuru wa mode kuunganisha like posts ili kupunguza unnecesary duplication, lakini kuunganisha two threads zenye opposite central ideas, ni creation ya contadiction kati ya jee mgomo unaendelea, au madaktari wametii amri ya serikali kurejea kazini, hii ikiwa ni kiashirio cha mgomo umekwisha!.

JF kama social media, haipaswi ku take side, kama madaktari wenyewe wamepandisha thread kuwa mgomo unaendelea na wanaweka facts zao, hivyo kudhibitisha mgomo uko pale pale!.

Lakini kama kuna taarifa kutoka reputable media, with voice and pictures (hata kama ni make belive), kuthibitisha baadhi ya madaktari wamerejea kazini, acha thread za hao wanathibisha baadhi ya madakrari wametii amri ya serikali na kurejea kazini ziendelee na zio kuzinyima haki kwa kuzi merge na thread ya mgomo unaendelea.

Kwenye uandishi wa habari, kuna kitu kinaitwa "resiponsible journalism", kwa mwandishi kuripoti nothing but the truth, ila awe tayari to bear the consequences of his or her reporting kwa kutanguliza maslahi ya taifa mbele!.

Wito kwa mode, please don't let jf take sides, acha wanaoshabikia mgomo waushabikie na kuthibitisha mgomo unaendelea, na uache wanaothibitisha serikali imesikilizwa na mgomo umeisha wathibitishe, usiwalazimishe wanaothibitisha mgomo umeisha, kufunikwa na wanaoshabikia mgomo unaendelea!.


Kitendo cha kuifunika thread ya kuthibitisha mgomo umemalizika, kwa thread ya kuchochea kuwa mgomo unaendelea, kwa opinion question yangu "Jee huu sii uchochezi?!"

Pasco (wa jf)
Maslahi ya Taifa Mbele!.​
 
Yaweza kuwa kweli kwandio burning issue kwa taifa. Lakini tusubiri kitakachojadiliwa na kuamuliwa.
 
Pasco ni mcheza shoo namba moja kwenye sakata la madaktari, alikata viuno hapa kuliko yondo sister, naona hoi sasa

user-online.png
Pasco

27th January 2012 09:45
#1
JF Premium Member Array


Join Date : 22nd September 2008
Posts : 5,811
Rep Power : 1987



[h=2]
icon1.png
Mgomo Wa Madaktari: Jee, Serikali Kuwafukuza Kazi Kwa Summary Dismissal kwa "Insubordination"?[/h] Wanabodi,
Hili ni opinion question yangu kuwa jee, serikali inajipanga kuwafukuza kazi madaktari wote waliogoma kwa 'summary dismissal" kwa kutumia kipengele cha "insubordination"?. Lengo likiwa ni kuzuia mgomo huu usisambae nchi nzima hivyo ku paralyse sekta nzima ya Tanzania?.

Opinion hii inafuatia majibu ya kimitego mitego yanayotolewa na viongozi wakuu wa seriali na sekta ya afya nchini!
1. Juzi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, alisema yuko tayari kukutana na madaktari hao wakati wowote ila concern yake kubwa kwanza ni maisha ya watu yanayopotea!, hivyo akawataka kwanza warejee kazini ndipo mazungumzo yafuatie.
2. Jana Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda, alipanga kukutana nao, lakini badala ya kuwafuata pale wanapokutania, serikali ikatafuta ukumbi mwingine wenye usalama zaidi ili kumwezesha Waziri Mkuu Pinda, kwenda kuwaangukia!, Madaktari hao wagomaji wakataa kwenda pengine popote zaidi ya hapo walipo!.
3. Asubuhi hii Naibu Waziri wa Afya, Dr. Lucy Nkya, ametangaza serikali haiwezi kuwafuata madaktari hapo walipo kwa kwa sababu hawana uhakika na usalama wa eneo hilo la kukutania, na kuwataka wakubali kukutania katika eneo watakalotayarishiwa na serikali ambalo ni salama ili serikali kupitia kwa Mtoto wa Mkulima, Mhe. Mizengo Pinda, iwaangukie!.
4. Leo serikali itatoa taarifa rasmi ya Altimatum kuwa kufikia Jumatatu Saa 2:00 asubuhi, dakitari yoyote ambaye hataripo sehemu yake ya kazi, ajihesabu amejifukuzisha kazi!. Altimutum hii na tishio la kuwafukuza kazi ni mpango wa Iron Lady Mama Blandina Nyoni, "never on earth to bow down on anyone!"!. Serikali itamia vifungu vya sheria ya kazi kuonyesha mgomo huo sio halali hivyo kuhalalisha matumizi ya summary dismissal kwa insubordination!
5. Wakati ninaandika opinion hii, serikali tayari imeshawaandikia barua madfaktari wote wastaafu ambao ni able, kurejea kazini kwa dharura!, madaktari wote wa jeshi wamemepawa amri ya stand by, kuwa tayari kufanya kazi masaa 18!.
6. Mpango huo wa kuwafukuza kazi kwa "summary dismissal",kwa kutumia kifungu cha "insubordination" utawanyima haki zao zote, ukiondoa michango yao tuu waliyokatwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii!.
7. Taarifa za mpango huo wa serikali zimetumwa mjini Davos nchini Uswisi kupata baraka za mkuu nchi, na kuna uwezekano kabla ya utekelezaji wa uamuzi huu, rais Jakaya Kikwete, ataikatiza ziara yake ya nchini Uswisi na kurejea nyumbani over the weekend ambapo kabla ya kumalizika altimatum hiyo, Rais Kikwete atalihutubia taifa kwa mtindo ule wa kuuzuia ule mgomo wa wafanyakazi!.
8. Kitendo cha mtumishi wa serikali, kukataa kutekeleza amri halali ya mkuu wake wa kazi, hiyo ni insubordination na adhabu yake ni summary dismissal!. Hivyo pamoja na genuinity yote ya madai ya madaktari, jee mgomo wao ni halali?, unafuata sheria za migomo kwa mujibu wa sheria zetu za kazi na maadili ya kidakitari?!.

Wasalaam

Pasco (wa jf)
Update:
Nimeona news clip ya ITV. Waziri wa Afya Dr. Haji Mponda amewafuata madaktari walipo akiwa ameandamana na Waziri wa Utumishi, Hawa Ghasia na Naibu Waziri wa Afya Dr. Lucy Nkya.

Waziri wa Afya amepokea malalamiko yao ambayo wameyaelekeza kwa Waziri Mkuu. Pia amewasilisha ombi la serikali kuwa kesho warudi kazini wakati serikali ikishughulikia madai yao.

Madaktari wamegoma na kusema wanasubiri majibu ya barua yao kwa Pinda.

Kesho, Mtoto wa Mkulima atakwenda kuonana nao na kuwaomba waripoti kazini Jumatatu asubuhi. Kama na kesho watagoma, kesho kutwa JK atarudi na J3 atalihutubia taifa hotuba kama ile ya mbayuwayu!.

Sisi wote tunaowaunga mkono madaktari, tuanze pia kuwakumbusha kupunguza misimamo mikali, Tuwaombe madaktari wetu, kesho Pinda akija na kuwaangukia, wamkubalie na kurudi kazini vinginevyo itakuwa ni kukomoana kama vita vya ndovu, ziuniazo ni nyika!


Hizi kauli za shinikizo la kuendelea kugoma, ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, lakini katika umoja huo tangulizeni maslahi ya taifa mbele, mkiendelea kutunisha misuli ni kweli mtakuwa fired, na ni kweli kuna baadhi yenu watagain kwa kwenda kupata kazi nje ya nchi, lakini kuna wengine wata loose na to be rendered jobless overnight!.

Kesho asubuhi ripotini kazini hata kama sio lazima mtibu, then endelezeni go slow mpaka kilio chenu kijibiwe!
 
Pasco mwenzako anataka kukutana na watu aliosema wamefukuzwa kazi kesho saa tatu asubuhi kwenye ukumbi wa CPL Muhimbili. Unasemaje hapo?
Mi nadhani anakimbia maswali ya papo kwa papo coz, wameipiga danadana hii mada ya madaktari na kesho kwnye maswali ya papo kwa papo wasingeweza kuchomoa! Mjinga hujiona mwerevu mbele ya macho yake mwenyewe kweli naamini CCM hamna wakumwongoza mwingine.
 
@kimbunga, pinda amekubali kula matapishi yake, na isitarajiwe tena selikali kutumia vitisho kusapress madai ya raia wengi wamejifunya kwamba ukikomaa selikali hnafyata!

Kwa mawazo yangu nilikuwa nadhani Presidaa angekuja na kutoa kauli ya mwisho akiwa kama last reasort. Kumrudisha tena PM kwenye hili sakata nadhani si sahihi. PM alishafika ukomo wa kushughulikia suala hili hadi akatoa tamko la kuwafuta sasa anarudi kwenye mchakato kukanusha kwamba hajawafuta au inakuwaje. Naona madaktari watamwambia afute kwanza kauli zake ndio waketi kwenye meza ya duara. Jamani mbona PM anasumbuliwa hivi; leo anakanushiwa kuwa posho hazikupata baraka ya ikulu huku akiwa amesema zimepata kesho anaambiwa akakutane na watu aliosema amewafuta kazi; ina maana akaombe msamaha?
 
...hawa watu wa ajabu sana. Au ndo kutoana kafara kiaina. Wameshindwa, bosi nae anakimbia aibu ya kugomewa. Wakikubali wengine lazima waamke.
 
Tatizo siyo kukutana na madaktari; mazungumzo yoyote na madaktari hayawezi kuwa na maana kama Waziri wa Afya, Naibu, Katibu na Mganga mkuu bado wapo madarakani. Kanuni ya kwanza ya kujenga imani kwa madaktari ni kwa wanne hawa kuondolewa kwanza. That is a pre-condition ya mazungumzo yoyote ya maana.
I am hoping for the strong stnad of doctors against mama Nyoni
 
Hatimaye kaamua kuwa jiwe la chumvi. Uwaziri mkuu mtamu! Yuko tayari akalie mbele ya madaktari aliotangaza kuwafukuza kazi kuliko kujiuzulu. Ngoja madaktari wamtake na yeye ajiuzulu!
Duh Mkuu ni kweli madaktari wanaweza kusema hivyo! Mambo yanaweza kuwa magumu kama jiwe. Hili tego ni kama kokoro la kule kwetu Bukoba; Sangara twendee, nembe twendeee, gogogo hayaaa, dagaaa twendeee!
 
Tatizo siyo kukutana na madaktari; mazungumzo yoyote na madaktari hayawezi kuwa na maana kama Waziri wa Afya, Naibu, Katibu na Mganga mkuu bado wapo madarakani. Kanuni ya kwanza ya kujenga imani kwa madaktari ni kwa wanne hawa kuondolewa kwanza. That is a pre-condition ya mazungumzo yoyote ya maana.

Mazungumzo ya wenye busara hayana pre condition imekuwa palestina na Is-hell case??
 
Back
Top Bottom