Pinda: Kiongozi asiye na makuu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,333
Pinda ni kiongozi na wala sio mtawala.
Yeye ni binadamu anamapungufu yake, na pia kuna mema aliyoyafanya.
Hapa akipiga mzigo.
PINDA.jpg
 
Rafiki yangu usifanye mchezo na wanasiasa.
Wana sura nyingi kama rangi za kinyonga.
 
sasa huyu si mkulima mwenzetu mkuu au ? katumwa huyo kutuma matumaini wakulima.danganya toto hio kujifanya hana makuu.
 
Rafiki yangu usifanye mchezo na wanasiasa.
Wana sura nyingi kama rangi za kinyonga.

Asavali umesema wewe.

Lakini swali ni ..

Je kuna jipya hapa?

Kama walengwa waliotakiwa kuwa wa kwanza ku-observe facts kuwa siasa za kibongo hususan genge la watawala ndio haswa mzizi wa matatizo yoooote yanayotuzunguka, itakuwa vipi kutegemea kuwa siku za usoni tutakuwa na uongozi mzuri wenye kujali the common mwananchi na kuwaletea maendeleo??

Sidhani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom