Pinda: Karibu asilimia Tisini na Tisa (99%) ya Wanzanzibar ni Waislam

Status
Not open for further replies.
kile kipindi cha maswali na majibu kifutwe tu...pinda huwa hajui kujibu maswali
 
Tuache upotoshaji. kauli ya mh. Msigwa sio kauli ya CHADEMA. Mh.. Msigwa sijui kama anayaelewa mazingira ya Zanzibar na hata yale ya Mafia. Na sina uhakika kama Mh msigwa anaishi na wakristo tu huko Iringa. Mh Msigwa asijaribu kuwagombanisha watu wa dini mbalimbali kule Zanzibar. Tangazo hilo limetolewa bila shaka kuwapa taarifa watu wageni wa taratibu za mwezi wa Ramadhani kama kina Msigwa. Kwa wenyeji wa dini zote Zanzibar hili sio geni na wala haliwapi shida.

Hapo kwenye nyekunda sijakuelewa kwani ni wakinanai hakiwapi shida?Mie nadhani Mh Pinda kapotoka kwani hata kama kuna asilimia moja ya watu ambao sio waisillamu wana haki yao ya kuishi kutokana na imani zao,lakini siyo haki asilimia 99 kumeza haki za wengine kisa niwachache,kiujumla aliyatangaza suala hilo Zanzibar amevunja katiba ya jamhuri ya muungano
H
 
kama hali ni hii maana maeneo mengi sasa duniani yanavurugika kwa sababu ya hizi dini,natamka kwa kujiamini mungu yupo atazidi kuwepo lakini hakuna uhusiano wowote wa mungu na hiki kitu kinachoitwa dini zaidi naona zinachangia kuongeza maovu ulimwenguni.hebu jiulize kadiri siku zinavyozidi kwenda wahubiri wa kiislamu na kikristu wanaongezeka na kwa kadiri wanavyoongezeka ndiyo dunia inavyozidi kuharibika.dini ni saccos kama zingine.
 
Mbona hata baadhi ya makanisa wanakataza nguo zisizo na heshima? kwa hiyo hayo makanisa hayana imani?

mimi shida naiona kwenye ulazima ambao watu wanatakiwa eti kuifuata kama je sina dini??? lets be fair makasisi walihubiri kwa nafasi yao lkn pia na mashehe kwa nafasi yao inapokuja kwa serikali hakuna dini waache watu waish kwa imani zao.

hivi dhambi ni huo kuvaa nguo fupi tu eeh! kuskiliza matusi si dhmbi? maanake waweza apita sehaam aaumefunga na watu akaporomosha mitusi ilo je liko vip? ama kuangalia miziki inayochezwa uchi??? tuache unafk bana
 
hvi kweli tumekomboka? miaka 50 uhuru wa nini tulio nao? je tunaendeshwa kidini ama kisiasa?

nisivae nguo fupi kama ndo zinazonata na mwili nifanyeje? kwani wewe kunitazama tu watamani? jamani basi hawa wenzetu wanaimani za kushikiwa na wala si za kweli manake nijuavyo mimi majaribu hayana budi kutokea ila wapaswa uyashinde. na pia imeandikwa ole wake yeye aletaye makwazo kwa mwenzie so wewe shinda jaribu huyu aliyekuletea makwazo mwache ole uwe wake.


Hiyo imeandikwa kwenye vitabu vyenu sisi vyetu vinasisitiza mtu avae kwa kujistiri,sio avae anavyotaka'halafu hii amri yakufunga mahotel ni amri iko nchi zote karibu zenye idadi kubwa ya waislam jaribu kutembea uone'
 
A
kama hali ni hii maana maeneo mengi sasa duniani yanavurugika kwa sababu ya hizi dini,natamka kwa kujiamini mungu yupo atazidi kuwepo lakini hakuna uhusiano wowote wa mungu na hiki kitu kinachoitwa dini zaidi naona zinachangia kuongeza maovu ulimwenguni.hebu jiulize kadiri siku zinavyozidi kwenda wahubiri wa kiislamu na kikristu wanaongezeka na kwa kadiri wanavyoongezeka ndiyo dunia inavyozidi kuharibika.dini ni saccos kama zingine.

Hayo ni maoni yako uko huru,lakini wengi wetu humu tunaamini dini ndio zinazotufanya tuwe karibu na mungu,kwa hyo kama huamini dini ni juu yako!
 
Waziri Mkuu kadanganya Bunge, athibitishe kama kweli Waislam Zanzibar ni 99%. In any case hata 1% si wana haki? Mbona Mikoa yenye Wakristu wengi hawabani wengine wakati wa Kwaresma
 
Mbona hata baadhi ya makanisa wanakataza nguo zisizo na heshima? kwa hiyo hayo makanisa hayana imani?


Sio makanisani hata serikalini kuna utaratibu wa mavazi,hata bungeni wamejiwekea utaratibu wa mavazi yapo ambayo ni marufuku kuvaliwa,eti kwa waislam inakuwa ajabu'ambae hataki hyo sheria ahame tu znz liwalo na liwe
 
mbona akianza tu kujibu maswali huwa natoka,namuacha msaidizi wa home anaangalia,baadaye ananisimulia,oooooh mtaalam wa maswali ya papo kw hapo,makamasi tu.hakuna anachofikiri kabla ya kujibu.:israel:
 
Kwa mujibu wa katiba ya nchi hii haina dini wala kabila huko ni kuvunja katiba na kuzuia uhuru wa watu,serikali haiwezi kuingilia uhuru huu hawa lazima ni wanaojiita wa uamsho wa waislamu itikadi kali.
 
Katika wilaya yangu sijui ni asilimia ngapi lakini karibu watu wote ni WAKIRISTU ukiona mwislamu basi ni wa kuja. Pia hakuna hata msikiti mmoja.

Sasa namuuliza Pinda Je ni halai siku ya Ijumaa kuu M'kiti wa halmashauri yetu kutangaza kwamba mabucha yote ya nyama yafungwe?

Je tunaweza kujiwekea by laws katika halmshauri yetu kuwa WATU wote wafunge kwaresma?


Pinda acha kupindisha mambo twambie hivi Zaznzibar ni SECULAR au ISLAMIC STATES?

Je ina maana hao 1% non-muslim huko Zanzibar hawana HAKI?
 
Hiyo imeandikwa kwenye vitabu vyenu sisi vyetu vinasisitiza mtu avae kwa kujistiri,sio avae anavyotaka'halafu hii amri yakufunga mahotel ni amri iko nchi zote karibu zenye idadi kubwa ya waislam jaribu kutembea uone'


mimi hapa ndo siellewi so Tanzania ni nchi yenye waislam wengi etieeh! kama siyo kuna sababu gani ya PM kuliongelea hili bungeni? kama zabar ni nci basi ibaki na nchi yao na sheria zao hata wakiamua kulana nyaman haituhusu manake kwanza sijui kwanini tuliungana nanyie watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kisa arabuni wanafanya basi nanyie mnataka basi n nyie oaneni kaka na dada kama waarabu basi tujue moja
 
Zanzibari inaongozwa na Katiba ya Zanzibar ambayo kimsingi inapingana kwa sehemu kubwa na ile ya Jamhuri. Hivyo, kulingana na Katiba yao, wako sahihi kuzuia Hotel zote kuuza vyakula nje ya muda kwa wakati huu wa mwezi mtukufu. Hii ndiyo sababu inayofanya wananchi waone umuhimu wa kushiriki katika kutoa maoni yao juu ya katiba mpya, na kama ikiwa inawezekana, tuwe na Serikali moja au tatu ili kila serikali ijijue, kusiwe na mkanganyiko huo.
 
kwani mavazi ndo yanaabudu? ndo tatizo ya mapokeo na hasa yakipokelewa na wehu tunagombaaaaaaaaaaana kwa tamaduni za watu.shame on us
 
Wana- JF,

Hivi punde katika kipindi cha maswali na majibu Waziri Mkuu, Pinda ameulizwa swali na Mh. Mchungaji Msigwa kuwa huko Zanzibar kuna tamko limetolewa na kiongozi mmoja kuwataka wafanyabiashara wote wa mahoteli kutokuuza chakula hasa wakati wa mchana kwa vile waislamu wako katika mfungo wa Ramadhani. Mbali na hilo kuna pia agizo kuwa wanawake wasivae nguo fupi katika kipindi hiki kwa vile wanawatamanisha wanaume.

Aidha, Waziri mkuu amesema amri ya kutokuuza chakula huko iko sawa kwa vile mazingira ya huko zanzibar yanaonesha kuwa asilimia kama tisini na tisa (99%) ya wananchi huko ni waislamu. Licha ya kuingilia haki za watu wengine na imani za watu wengine, naona kwa mtazamo wangu suala hili halikutakiwa kujibiwa namna hiyo na Waziri Mkuu.

Naomba wenye takwimu watuambie kama kweli 99% ya wananchi wote ni waislamu na kama watu wengine wanaoishi huko hawana haki kwa mujibu wa Katiba.

Nawasilisha.

Sasa huyo Pinda hiyo 99% anatoa wapi? Anaongeaje takwimu Bungeni huku ikiwa hana uhakika.!!!!

[h=3]Religion[/h]The most commonly practised religion is Islam. About 95% of Zanzibar's population follow the laws of Islam (see Islam in Zanzibar). Its history was influenced by the Arab and Persian people. The remaining 5% are mostly Christians.[SUP][28][/SUP]
There are six Catholic churches in Zanzibar. The Anglican Cathedral in Zanzibar's multi-ethnic old town (Stone Town) is the headquarters of a single diocese of the Anglican Church of Tanzania. Founded in 1892 as the Diocese of Zanzibar and Tanga, it was split in 2001 into two separate dioceses. The Diocese of Zanzibar consists of seven churches, and has 2,000 members.[SUP][29][/SUP] There are many burial places around the outskirts with interesting headstones and graves, and some important graves in the town itself, usually of religious leaders of the past. There are also Evangelical Christian churches in Zanzibar Town. Some distance from Zanzibar Town are other Christian churches such as Evangelistic Assemblies of God Zanzibar (EAGZ) which is at Kijito Upele-Fuoni Zanzibar, pioneered by the Founder for Evangelical Movement in Zanzibar, Rev. Leonard Masasa. Another church is Tanzania Assemblies of God which is at Kariakoo. There are now more than 25 Evangelical churches in Zanzibar. There is also a small population of Bahá'ís (see Bahá'í Faith in Tanzania).
 
Unaonaje kama kwenye sensa kingekubalika kile kipengele cha dini ! Ni kujifanya kujua zaidi ,hata huku Tanganyika waislamu ni 85% waliobaki wanaabudu masanamu au hawana kabisa.

hivi kwa nini haujaribu kubadilika mkuu? Kwani matusi kwa imani za wenzio yana kusaidia nini?
 
1.jpg

5752.jpg

image001.jpg

5775.jpg

IMG_7320.JPG
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom