OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Waziri Mkuu Mizengo Pinda katangaza rasmi makao makuu ya wilaya ya Rorya kuwa INGRII JUU Tarafa ya Girango anapotokea aliyekuwa waziri wa ulinzi na mbunge wa Rorya Mzee phielemon ologi sarungi,
uhamuzi wa waziri mkuu Pinda umewaacha wananchi wa wilaya ya Rorya nji panda kwani ingrii sio miongoni mwa maeneo yaliyopendekezwa na Tume iliyohundwa na waziri mkuu
uhamuzi wa waziri mkuu Pinda umewaacha wananchi wa wilaya ya Rorya nji panda kwani ingrii sio miongoni mwa maeneo yaliyopendekezwa na Tume iliyohundwa na waziri mkuu