Halisi has never let down JF....Pinda hawezi kuja na jipya....mimi huwa namwona kama Joti wa Ze Comedi
DECI kama Rostam Aziz haishikiki japo inaonaekana ni halifu. Makubwa haya...
Jinsi serikali inavyovuta miguu kuifunga hii DECI, nadhani viongozi wakuu wamepanda kitu huko na sasa bado wanatafakari jinsi ya kuchukua chao mapema ndiyo walalahoi walizwe. Nilitegemea kusikia kuwa kuanzia kesho kazi za DECI zinasimamishwa na viongozi wake wote wanatiwa ndani wakati serikali inaangalia njia za kuwalipa wanachama pesa zao bila kulet amadhara makubwa. Hata hivyo naogopa kuwa serikali inaweza kujiingiza kichwa kichwa na kulipa wateja ili kujipendekeza kwa ajili ya kura!