Gustanza_The
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 126
- 7
2008-09-06 09:27:56
Na Abdallah Bawazir
NIPASHE
Pinda alisisitiza kuwa sekta binafsi inafaa kuungwa mkono na kuwezeshwa, kwani inatoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ndiyo maana serikali katika sera zake za mabadiliko ya kiuchumi imeamua kuishirikisha kwa kiasi kikubwa na kuisaidia ili iweze kukua. [Good point Pinda!]
Akionyesha kukerwa na maendeleo duni ya sekta hiyo, alisema anaumia anapokwenda katika nchi nyingine na kukuta sekta binafsi imeshamiri na kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya nchi zao na kushangazwa kwa nini Tanzania isiwe kama nchi hizo. [Tukuulize wewe, Pinda!?]
``Hivi karibuni nilikuwa Shamal Sheikh (Misri). Mji huu zamani ulikuwa ni jangwa tupu, lakini sasa umebadilika kabisa, una maendeleo makubwa [ Kwasababu wamisri sio wasanii kama alivyo bosi wako Kikwete!] Nilitembelea fukwe zake zimejengwa mahoteli makubwa ya kitalii, nilipouliza nikaambiwa hii yote ni sekta binafsi, nikaumia sana. Nikajiuliza hivi sisi tuna nini, [Sisi tuna UJINGA!!!]`` alisema Pinda.
``Tubadili fikra na kuacha urasimu katika kushughulikia mambo haya, tumekalia taratibu na sheria tu, lakini wenzetu wao wanaangalia nini kinafaida kwa wananchi na kukishughulikia haraka,`` [Na kwanini sisi hatuangalii nini kinafaida kwa wananchi na kukishughulikia haraka?]
Pia aliyalaumu mataifa ya nje kuwa yamekuwa yakikwamisha baadhi ya miradi ya maendeleo nchini kwa kisingizio cha uharibufu wa mazingira. [ Pinda hebu nisaidie hapa, kwani Tanzania bado ni koloni?]
``Tulitaka kujenga barabara kwenye mbuga ya Serengeti tukaambiwa tunaharibu mazingira ya mbunga, kuna kampuni ya Kenya ilitaka kupewa bonde la Mara kwa ajili ya kilimo cha mpunga lakini lo! watu walipiga kelele utafikiri nini, ipo siku atatokea kiongozi kichaa atakataa tu haya,`` alisema Pinda. [Na nyie mlivyo wajinga mkakubaliana na hayo mataifa ya nje, ambayo sasa yanaimba "drill baby drill?" Mataifa ambayo yanatumia coal kuzalisha nishati ingawa coal yenyewe inaaminika kuwa kichafuzi namba one cha mazingira duniani? Give me a break, Pinda!!]
Fact: In case you forget, Pinda is our Prime minister.
Na Abdallah Bawazir
NIPASHE
Pinda alisisitiza kuwa sekta binafsi inafaa kuungwa mkono na kuwezeshwa, kwani inatoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ndiyo maana serikali katika sera zake za mabadiliko ya kiuchumi imeamua kuishirikisha kwa kiasi kikubwa na kuisaidia ili iweze kukua. [Good point Pinda!]
Akionyesha kukerwa na maendeleo duni ya sekta hiyo, alisema anaumia anapokwenda katika nchi nyingine na kukuta sekta binafsi imeshamiri na kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya nchi zao na kushangazwa kwa nini Tanzania isiwe kama nchi hizo. [Tukuulize wewe, Pinda!?]
``Hivi karibuni nilikuwa Shamal Sheikh (Misri). Mji huu zamani ulikuwa ni jangwa tupu, lakini sasa umebadilika kabisa, una maendeleo makubwa [ Kwasababu wamisri sio wasanii kama alivyo bosi wako Kikwete!] Nilitembelea fukwe zake zimejengwa mahoteli makubwa ya kitalii, nilipouliza nikaambiwa hii yote ni sekta binafsi, nikaumia sana. Nikajiuliza hivi sisi tuna nini, [Sisi tuna UJINGA!!!]`` alisema Pinda.
``Tubadili fikra na kuacha urasimu katika kushughulikia mambo haya, tumekalia taratibu na sheria tu, lakini wenzetu wao wanaangalia nini kinafaida kwa wananchi na kukishughulikia haraka,`` [Na kwanini sisi hatuangalii nini kinafaida kwa wananchi na kukishughulikia haraka?]
Pia aliyalaumu mataifa ya nje kuwa yamekuwa yakikwamisha baadhi ya miradi ya maendeleo nchini kwa kisingizio cha uharibufu wa mazingira. [ Pinda hebu nisaidie hapa, kwani Tanzania bado ni koloni?]
``Tulitaka kujenga barabara kwenye mbuga ya Serengeti tukaambiwa tunaharibu mazingira ya mbunga, kuna kampuni ya Kenya ilitaka kupewa bonde la Mara kwa ajili ya kilimo cha mpunga lakini lo! watu walipiga kelele utafikiri nini, ipo siku atatokea kiongozi kichaa atakataa tu haya,`` alisema Pinda. [Na nyie mlivyo wajinga mkakubaliana na hayo mataifa ya nje, ambayo sasa yanaimba "drill baby drill?" Mataifa ambayo yanatumia coal kuzalisha nishati ingawa coal yenyewe inaaminika kuwa kichafuzi namba one cha mazingira duniani? Give me a break, Pinda!!]
Fact: In case you forget, Pinda is our Prime minister.