Pinda hastahili kuwa PM, si mbunge wa kuchaguliwa

WanaJF mnajua hawa jamaa wa sisiemu wana matatizo sana!!!!!!!!!!!!! Kwani inahitaji elimu gani kujua kwamba kama uchaguzi haukufanyika katika jimbo basi hakuna mbunge wa kuchaguliwa?????????????? Itabidi wawaambie watanzania kwa lugha ya kueleweka ni wapigakura gani wenye sifa walimpigia kura pinda tarehe 31.10.2010?? Vinginevyo kama katiba haikuweka mlango mwingine basi hapo ni kashfa nyingine ya kunyonga demokrasia!!!!!!! Kama huko nyuma walipita bila kupingwa kwa sababu ya ujinga wa watanzania, safari hii breki!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mpaka kieleweke!!!! Haya ndiyo matokeo ya uzee!!-sisiemu ni mzee sana, miaka 50, wenzake wote akina KANU, UNIP,nk walikwisha kufa na wengine kuzikwa!!!!, sasa amekutana na vijana wa CDM- hasa Tundu Lissu kiboko cha sisiemu na team yake !!!!!!!!! Ndiyo maana mkwere alimwona kwa mbali akatoa tahadhari mapema kabisa kwamba ni heri Slaa apate urais kuliko Tundu Lissu kuingia mjengoni!!!!!!; sasa yumo mjengoni!!!, si kazi hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!! Amaa kweli awamu hii sisiem mtakoma-wako mawaziri 16 na wabunge 20 wote wameandamwa!!!!!!! Hasira yoteya watanzania ya kura kuchakachuliwa itaishia kwenye kesi hizi!!!!!!!!!!!!! Majaji kaeni chonjo, safari hii mkipokea rushwa mtaishia kwa Ocampo, the Hague!!!!!!!!!!HATUKUBALI KATUUUUUUU!!!!!!!!!:israel:Halafu bado yapo mengi ya kutoa roho mjengoni-viporo vya EPA, Richmond etc; tume huru ya kuchunguza wizi wa kura; ubunge batili wa Sophia Simba bunge la SADC; katiba mpya; tume huru ya uchunguzi; miereka na serikali kivuli ya Mbowe-si mlimsikia kwenye mdahalo alivyo mkali!!!!!!!!! Tena safari hii mechi zote zinachezewa kwa wakati mmoja katika viwanja tofauti vya EU, UN, Balozi zote Darislam,USA kwa Obama, heeeeeehe!! iko kazi maana hawa ndiyo wenye kuhudumia bakuli la mkwere!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Dalili za bakuli kukauka tayari si mnaona umeme tayari mgao!!, maji mgao!!, na bado si muda mrefu petheroli magao!!!!!!!!!!!!
 
WanaJF nilisahau-spika anna makinda na naibu wake ndugai nao ni batili!!!!!!!!!!! Nyaucho Marando jiandae uspika ni wako, walikushikia kwa muda tu!!!!!!
 
Back
Top Bottom