Pinda Bungeni - Taarifa ya Mabomu kulipuka, Bunge laahirishwa

Jk ni msoga kila wiki. Ni udini tu. Mabomu mimi sijui na watu wamekufa mimi sijui. CCM lazima kujizatiti upinzani unakuja juu sana
 
Je tatizo la mabomu litamalizika kwa kuairisha bunge???
Ndugu zangu tatizo kambi za jeshi jijin dar es salaam zipo karibu sana na makazi ya watu wakt nchi imejaa mapori kibao yasiyo nakazi yoyote
these soldiers should be moved out of town and leave police force who by the way are suppose to be close to people to protect them
 
Mchezo wa siasa sasa utaanza hapa... Watakuwa wanajipanga tu ili waangalie namna ya kuchezea akili za Watanzania... Mbagala limetokea na wakaturubuni na kisha kufukia kila kitu sasa hata hatujapona na jeraha lile linakuja hili... Ndani ya kipindi cha Uongozi cha JK, in les than two years yanatokea haya mara mbil...

Kuna haja ya kuwajibishana...na kuna haja ya Watanzania kuwawajibisha wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza.!

Jamani, kuna sababu gani ya kuanza kuhangaika kutafuta chanzo cha mlipuko wa mabomu wakati inajulikana chanzo? wazo langu mimi ni kwamba Waziri wa Ulinzi Dr. Hussein Mwinyi na Mkuu wa majeshi wajiudhuru mara moja na kusiwe na maswali mengi wala hoja katika hilo. Mh. Raisi tunahitaji utekelezaji wa hili. Maswaaaa!
 
Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda anatoa taarifa bungeni kuhusu milipuko ya mabomu Gongo la Mboto

Azungumzia takriba watu 19 wafariki

Raisi kukutana na baraza la usalama la taifa

Bunge laahirishwa ..sababu ya hofu kubwa kwa wabunge

Mdau nasikia JK ameenda eneo la tukio unahabari zozote kuhusinana na hilo??
 
Back
Top Bottom