Kauli ya pinda anasema watu walio fariki ni 27!!Na ametahadharisha watu wasiwe katika eneo lilokuwa na majanga hayo na watu 4000 wamekusanywa kwenye uwanja wa Uhuru!!Maghala yaliyo haribika ni maghala 25!!yote yalikuwa yamesheheni mabomu!!Na Rais anaenda kukutana na kamati ya Ulinzi na usalama Muda mfupi ujao ili kujua nini chanzo cha mlipuko huo!!
what is better, kukaa bure kwa wabunge 357 dodoma wakilipwa stahili zote au kuendelea na mijadala na kuwataka serikali walete kauli ya tukio kesho? nani anabeba garama za kuendelea kuwaweka dodoma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.