NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Nafikiri ingekua busara zaidi kama anaona ipo haja ya kuomba radhi kwa taasisi za dini, basi angefanya hivyo kwa dini zote, kwani sidhani kua kuna ambae hakuguswa na vurumai za uchaguzi. Inawezekana asingeweza kufanya hivyo pale kulingana na mazingira lakin anaweza akafanya hivyo ktk nyakati tofauti.
Vingenevyo inaweza kuleta hisia kama kua taasisi moja ina influence kubwa ktk nchi kuliko nyingine jambo ambalo sidhani kua lina maslahi hata na kanuni zenyewe za uongozi bora.
Vingenevyo inaweza kuleta hisia kama kua taasisi moja ina influence kubwa ktk nchi kuliko nyingine jambo ambalo sidhani kua lina maslahi hata na kanuni zenyewe za uongozi bora.