Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Katika hali inayoonyesha wasiwasi halisi alio nao JK na utawala wake kuhusu hali iliyoikumba Tunisia kwa umma kuchukua madaraka ya nchi kutokana na utawala mbovu, maisha magumu pamoja na rushwa, hali ambayo inaweza kutokea hapa tanzania na jeshi lao kukwama kutuliza mambo, Pinda amefikia hatua ya kujitwika zigo la JK na kuomba mjadala wa kitaifa kuhusu hali ya ulinzi nchini. Ameyasema haya ktk semina fupi 'elekezi' Dodoma na watendaji wapya wa halmashauri, ikijumuisha pia madiwani, wakurugenzi nk.
source TBC1
My take:
Hii inadhihirishwa ukweli kuwa hali ni tete na serikali haina uhakika na majeshi yake na haijui nini kitatokea kesho kama nguvu ya umma itafuata nyayo za wananchi wa Tunisia kwa kuingia mabarabarani. JK hapati usingizi sasa na hataupata.
naomba kuwasilisha.
source TBC1
My take:
Hii inadhihirishwa ukweli kuwa hali ni tete na serikali haina uhakika na majeshi yake na haijui nini kitatokea kesho kama nguvu ya umma itafuata nyayo za wananchi wa Tunisia kwa kuingia mabarabarani. JK hapati usingizi sasa na hataupata.
naomba kuwasilisha.