Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Wakati akiendelea na hoja zake mambo yafuatayo yamekuwa ni ushindi kwa CHADEMA.
haya ni baadhi ya mambo ila kuna haja ya kuipata hansard nzima na kuona yalivyojibiwa mambo yaliyoibuliwa na Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Mbowe wakati akiwasilisha hotuba ya Kambi ya upinzani.
La kushangaza ni kuwa naona ameamua kumtolea uvivu Lowassa na kumueleza kuwa serikali inafanya maamuzi magumu na imewahi kuamua waziri mkuu na baraza la mawaziri kuondoka akiwamo yeye Lowassa na huo ni uamuzi mgumu , na akamwahidi kuwa bado watafanya maamuzi magumu zaidi.
Notices za alichoongea bungeni zimeambatanishwa chini
- Kuhusu mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi - sasa wamekubaliana na hoja ya CDM ya kutaka ufanyike uchunguzi na kuanzisha mahakama maalum ya kusimamia suala hilo kwa kutumia sheria ya Inquest na kuundwa kwa Corronas court.
- kuanzisha utaratibu wa kila wilaya kuwa na mpango wake wa maendeleo (District Economic Master Plan).
- kuundwa kwa kamati ya kudumu ya bunge ya kupambana na Rushwa na isimamiwe na kambi ya Upinzani bungeni.
- kuangalia suala la posho na kufanya utaratibu mpya.
- kufanya marekebisho ya sheria na kuzifanya Halimashauri ziwe na uwezo wa kuajiri watumishi wake.
- kuhusu ajali za barabarani
haya ni baadhi ya mambo ila kuna haja ya kuipata hansard nzima na kuona yalivyojibiwa mambo yaliyoibuliwa na Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Mbowe wakati akiwasilisha hotuba ya Kambi ya upinzani.
La kushangaza ni kuwa naona ameamua kumtolea uvivu Lowassa na kumueleza kuwa serikali inafanya maamuzi magumu na imewahi kuamua waziri mkuu na baraza la mawaziri kuondoka akiwamo yeye Lowassa na huo ni uamuzi mgumu , na akamwahidi kuwa bado watafanya maamuzi magumu zaidi.
Notices za alichoongea bungeni zimeambatanishwa chini