Tatizo la Rushwa nchini linazidi kuongezeka kila kukicha baada ya Waziri Mkuu kuwasihi mashehe na Maaskofu wahubiri rushwa misikitini na makanisani hii ni kutokana na RUSHWA kukithiri NCHINI mara dufu.
Je Yeye Kama W/Mkuu sheria zipo anafanya nini kuwatimua kazi watu wanaoiba wazi wazi na wanafahamiki
Je yeye ni mtu safi au na yeye anatumiwa
Je yeye yupo tayari kwa kuwasaliti wenzake
Je Hii inamaanisha nini kwa Nchi yetu
Je nani yupo tayari kwa maslahi ya watz masikini
je na hizo kamati za bunge na posho zao za mikutano kila kukicha na hatuoni maendeleo hizo si rushwa tu
Je Wabunge wangapi wapo kimaslahi ya TAIFA kwenye hizo KAMATI
Je Yeye Kama W/Mkuu sheria zipo anafanya nini kuwatimua kazi watu wanaoiba wazi wazi na wanafahamiki
Je yeye ni mtu safi au na yeye anatumiwa
Je yeye yupo tayari kwa kuwasaliti wenzake
Je Hii inamaanisha nini kwa Nchi yetu
Je nani yupo tayari kwa maslahi ya watz masikini
je na hizo kamati za bunge na posho zao za mikutano kila kukicha na hatuoni maendeleo hizo si rushwa tu
Je Wabunge wangapi wapo kimaslahi ya TAIFA kwenye hizo KAMATI