kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
kauli gani, kuwa waziri mkuu muuaji?wapi hakuna kauli za serikali hapakazi ipo inabidi kauli ya serekali itoke.
kauli gani, kuwa waziri mkuu muuaji?wapi hakuna kauli za serikali hapakazi ipo inabidi kauli ya serekali itoke.
Wasiosoma ni chakula ya wasomiHivi madaktari walio katika mgomo watamtibia mwenzao ili hali walishasema hawafanyi kazi? Najaribu kufikiri tu.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Ulimboka is a hero.
Is getting the muximum care one can get in the country, i can call it "state of the art treatment" at least mazingira ya Tanzania.
Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.
Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA
Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.
Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA
View attachment 57578ulimboka leo
Mnakumbuka kauli ya Pinda kwa waliokuwa CPL -MNH siku hiyo.? . . .nanukuu. .
Ulimboka: Tunaomba kusiwe na victimization ya aina yoyote. .
Pinda: Hakutakuwa na victimization lakini mkikuta kapigwa na majambazi au kagongwa na gari msiseme ni serikali' mwisho wa nukuu
kazi ya majambazi siyo kupiga au kuua. Ujambazi ni kazi........ Hivyo kila kazi wanayofanya lazima iwe ina uhusiano wa kuwaletea kipato. Sioni sababu ya mtu kutake such risk bila kuwa na sababu............. Cha muhimu hapa kujiuliza kama ni majambazi? What is the motive??? Kama ni serikali .....................??? What is the motive?? Ukipima hawa wawili kati ya serikali na jambazi na uhusiano wao na tukio la ulimboka utaona kabisa nani anaweza kuwa na motive ya kufanya hilo jambo kwa ulimboka........!! Kama ingekuwa ni kesi unafikiri jury ingeamua vip??
Msanii ni wewe! Madaktari wana kiapo cha kusaidiana. Likitokea tukio lolote kubwa linalowahusu Madr wataenda kutibu kama walivyofanya leo kwani timu ya Madr ilikamilika yote kuanzia upasuaji, Kinywa na koo na macho na masikio, Intenal medicine, Mifupa hadi wale wa afya ya akili(psychiatry) waliunda jopo kubwa sana la kumtibu, Na kwa taarifa tu hakuna mtu mwingine yeyote atakayepata huduma nzuri kama ya ulimboka hata JK hatopata huduma hiyo bongo!!!Hapo ndio utajua usanii wanaoufanya hao jamaa.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.
Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA