Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Bhebhe nyanda, hebu niambie mkuu; Pinda anatumia gari gani vile? Hiyo S-Class 600 mbona bei ni zaidi ya 250M!!!!, tena hiyo nigari ya matanuzi HAWEZI HATA KWENDA NAYO KIJIJINI KWA BI MKUBWA! Ama kweli atawahadaa wengi!!!!Pinda ni mnafiki mkubwa. Amekataa ilo VX,afu kakubali Mercedes S-Class 600! Huo si unafiki mkubw!