William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
O.k. tueleweshane taratibu mkuu. So ngoja nione kama nime kusoma. Umesema hilo gari kanunuliwa kama mbunge na si waziri mkuu sawa? Na ana haki ya kulikataa au kuli kubali right? Sasa kama mbunge ina julikana ana weza kataa gari au laa kwa nini linunuliwe kabla mbunge hajaulizwa kama ana taka gari au la? Na yeye si mara ya kwanza kuwa mbunge kwa hiyo anajua huo utaratibu kwa hiyo kwa nini hakukataa tokea mwanzo na wakati anajua kama mbunge lazima ange nunuliwa gari jipya na angelikataa? Does it make sense?Hatumsemi waziri mkuu tu tunaongelea utaratibu mzima elewa hilo. Na hata kama kitu kipo kwenye katiba kama kina dosari tusiseme? Mbunge ana apishwa within a few days ya kushinda uchaguzi. Waziri mkuu ana pitishwa na kuapishwa within a few days after elections. Hayo magari yana nunuliwa pending na kupewa mtu yoyote atakae shinda au wana subiria mtu ashinde ubunge ndiyo wamuagizie? Kama yana nunuliwa pending basi hapo kuna dosari kwa sababu mbunge ana haki ya kulikataa. Sasa wata nunuaje gari kabla ya kujua mbunge ata likubali au la?Siyo kwamba ina sikitisha. The problem is kuna watu wana fikiria katiba ipo perfect na watu hawawezi kuhoji vipengele. Hata kama katiba ina ruhusu kitu kama haileti mantiki tuna hoji hiyo haimaanishi hatujui katiba. Hapa hamna anaesema Pinda kavunja katiba, at least I am not saying that.
- Mkuu to me hii habari kwangu ni sawa sawa ile habari ya Udini, haina substance yoyote kwa taifa Waziri Mkuu ana magari mengi sana at his disposal kwamba hahitaji gari lingine zaidi, otherwise on this ishu ninaamini kwamba katiba is perfect kwa sababu bila haya magari kuna wabunge wengine hawataweza kufika kwenye majimbo yao, na mfano mzuri sana ni majimbo kama ya Mahenge, na Ulanga.
William.