Kuna habari kuwa asubuhi ya leo mh Pinda atakutana na watumishi wa Idara ya afya walio ktk mgomo.Hakuna atakayenishawishi kuwa waziri mkuu Pinda atakuwa na majibu ambayo wataalamu wa tiba wanaitarajia zaidi ya porojo na ahadi zisizotekelezeka!Kwa mawazo yangu,muda wa mazungumzo ulipita,na mazungumzo yoyote ya sasa hayatakuwa na lolote zaidi ya unafiki tu.Nawashauri madocta msiwe kama wanafunzi wa elimu ya juu ambao wakigoma,huenda kiongozi wa serikali na fulana,kofia na kadi za ccm then anapiga blaablaa na,kuzigawa na,ndo mwisho wa mgomo.