zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
waziri mkuu Pinda amebeza kitendo cha Viongozi Kujumuika kwa wingi katika msafara wake ,hali inayopelekea kupgana vikumbo.
Amesema Anaitaji viongozi wachache Ili Nae ajimwage.
Wingi wa viongozi katika msafara ni kiashirio kuwa huwa hawafiki katika miradi hyo mpaka wamuone yeye amenda.
Source-tbc hbr
Amesema Anaitaji viongozi wachache Ili Nae ajimwage.
Wingi wa viongozi katika msafara ni kiashirio kuwa huwa hawafiki katika miradi hyo mpaka wamuone yeye amenda.
Source-tbc hbr