Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Huyo Pinda Kapinda kweli kweli, mi ninashukuru hata alivowahi kuondoka maana mtu mwenyewe huwa hakawii kulia, ninavojua angebanwa zaidi na nguvu ya umma chozi lingemwagika, nazani wasaidizi wake walimuambia kuwa "mshua tusepe" kisha haribika. Mi ninajua tumekuwa tukiwachangia watu kupitia media mbalimbali kwa ajili ya matibabu. Labda km anaposema serikali inagharamia matibabu ya watu nje ya nchi anamaananisha sisi watz, lakini serikali km serikali watupe takwimu zao, ambazo nina wasiwasi zikawa zimechakachuliwa