Kuhisi ni kujitengenezea ugonjwa wa moyo na kukonda.., bora nimfumanie nipate mshtuko mara moja kisha maisha yaendelee...
ulishawahi fumania?
Au mkuta 'live' umpendaye kabanwa na mtu mwingine??
Ni nightmare, bora uhisi yakikuchosha unampiga chini tu.
Tatizo la kufumania effect yake hata ukiachana na huyo inakuwa ya muda mrefu sana.
Unashindwa amini tena kama kuna mwaminifu.
Unaweza kupata uchizi wa ghafla na kama ulivyosema athari yake inaweza kabisa kuwa ni ya muda mrefu.
Lol, hujanijibu banaa....
Lipi lina unafuu nawe?
....haha..."If i dont see it, it is not there!"
Asante kaka, ngoja tuendelee kuchambua penye "wengi wape..."
Unaweza ukapata 'temporary insanity' ndio mtu unakuta umejitia kwenye mikosi ya kuua.
Imagine unamkuta hapo halafu una bastola, unaweza jikuta ushaharibu mambo.
Sitaki kufumania aisee, sina kifua hicho, naweza ishi ICU kwa muda kadhaa.
Unaweza kupata uchizi wa ghafla na kama ulivyosema athari yake inaweza kabisa kuwa ni ya muda mrefu.
Hujawahi experience "chupu chupu" za kufumania lakini mitego haikamati?
sikiliza lyrics za wimbo wa PRESHA. Hafsa Kazinja ft Banana Zorro.
Unaweza ukapata 'temporary insanity' ndio mtu unakuta umejitia kwenye mikosi ya kuua.
Imagine unamkuta hapo halafu una bastola, unaweza jikuta ushaharibu mambo.
Sitaki kufumania aisee, sina kifua hicho, naweza ishi ICU kwa muda kadhaa.
Hujawahi experience "chupu chupu" za kufumania lakini mitego haikamati?
sikiliza lyrics za wimbo wa PRESHA. Hafsa Kazinja ft Banana Zorro.
Kaka....
Prolonged pains za kuwa cheated bila "ushahidi kamili" athari zake pia mnh!
Yaani ushamkuta mume/mke/mpenzi na -'chupi chafu,' condoms, sms za hasara hasara, hashindi nyumbani, (unapouliza, anajitetea mpaka unakosa hoja!).....akishinda nyumbani ugomvi....LAKINI...hujawahi mfuma Live! usiombee kaka....au?
......Hilo nalo neno! Unamkuta mtu mzima anaanza kufanya "timing" ili afumanie.
Nini bastola, unaweza kuua mtu kwa fork ya kulia chakula ama kisu cha ugali. Yaani unamtoboa anakuwa kama net ya bush kwa msaada wa watu wa marikani.
Japo kuna mtu unamfumania kwa ushahidi beyond reasonable doubt, hiyo nayo sijui tuite kufumania tu?
JIBU:kufumania live inauma zaidi
shkamoo mwalimu