Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,273
- 17,096
Naomba wataalam wa constitutional affairs watuongoze juu hizi pillars of state.....
Executive (JK);
Parliament(6);
Judiciary (Ramadhan);
Media (not in tanzania)
..zinafanyaje kazi?..mbona JK anamuapoint CJ, ni sawa hili? Nchi nyingine wanafanyaje (hasa India na Pakistan) ..na je kwa nini rais ana maguvu mengi na inashindikana kumweka sawa... ana mamalaka mengi zaidi ya uwezo?
Executive (JK);
Parliament(6);
Judiciary (Ramadhan);
Media (not in tanzania)
..zinafanyaje kazi?..mbona JK anamuapoint CJ, ni sawa hili? Nchi nyingine wanafanyaje (hasa India na Pakistan) ..na je kwa nini rais ana maguvu mengi na inashindikana kumweka sawa... ana mamalaka mengi zaidi ya uwezo?