BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
Utasikia "nape amepokelewa kwa kishindo", kumbe watu wenyewe ni wakukodi...
Hata hivyo ni wachache sana kigoma ni cdm hao waliokodiwa wako kibiashara zaidi na siyo kisiasa na ndiyo maana hat bendera wengine hawana wanaendea shida ya pesa na siyo wanachama wa magamba