Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Somaiya: Mama Simba, Mimi mesikia ile statement yako. Iko safi saana. Ile Mengi iko chemsa chemsha kabisa kabisa. Iko kumbuka Mama; mimi nilipatia wewe 400M wakati ya kugombea UWT, yeye (Mengi) ilipatia wewe 20M tu. Sasa mimi mewekea wewe another 400M kwa ile ile kaunti yako natumia kila mara.
Mama Simba akajibu: Mengi is nothing hata JK hamfagilii wala haitaji support yake.
Kisha kwa kiwewe cha bingo ya 400M (just for saying few stupid words before seminar participants and being publicized through media) Mama Simba akawapigia simu watu wake wa karibu. Miongoni mwao ni Mkuchika
Mama Simba: Mzee, mwenzio jana nsha make. Yale maneno yangu ya kumkandia Mengi si umeyasikia kwenye vyombo vya habari?! Unaweza kuyathamanisha na kitu gani au fedha Sh ngapi?
Mkuchika: Aaagh mbona waandhishi waliyaweka ki-mtaa zaidi na yakaonekana kama mipasho na kukosa mvuto na heshima
Mama Simba akajibu: kalagha bao na heshima, mwenzio nime-make 400M in those few words! Somaiya kashafanya mambo nasubiri na hao wanne wengine waliotajwa.
Mkuchika: Eeeghegheeghe unasema kweli?! Duh ebu nami nifanye faster niwapate watu wa media nami nipande mbegu yangu nione nitavuna nini
Ndg mwandishi nataka nikwambie Mengi ni mwehu tu. Lakini tunamshughulikia msiwe na wasi.
Kilichofuata:
200M was deposited to Mkuchikas bank account followed by loading unlimited voucher to his mobile number. This was done by Shivacom.
Na habari imeishia hapo. Kwa mujibu wa chanzo changu ni ya Ukweli na Uhakika.
Mama Simba akajibu: Mengi is nothing hata JK hamfagilii wala haitaji support yake.
Kisha kwa kiwewe cha bingo ya 400M (just for saying few stupid words before seminar participants and being publicized through media) Mama Simba akawapigia simu watu wake wa karibu. Miongoni mwao ni Mkuchika
Mama Simba: Mzee, mwenzio jana nsha make. Yale maneno yangu ya kumkandia Mengi si umeyasikia kwenye vyombo vya habari?! Unaweza kuyathamanisha na kitu gani au fedha Sh ngapi?
Mkuchika: Aaagh mbona waandhishi waliyaweka ki-mtaa zaidi na yakaonekana kama mipasho na kukosa mvuto na heshima
Mama Simba akajibu: kalagha bao na heshima, mwenzio nime-make 400M in those few words! Somaiya kashafanya mambo nasubiri na hao wanne wengine waliotajwa.
Mkuchika: Eeeghegheeghe unasema kweli?! Duh ebu nami nifanye faster niwapate watu wa media nami nipande mbegu yangu nione nitavuna nini
Ndg mwandishi nataka nikwambie Mengi ni mwehu tu. Lakini tunamshughulikia msiwe na wasi.
Kilichofuata:
200M was deposited to Mkuchikas bank account followed by loading unlimited voucher to his mobile number. This was done by Shivacom.
Na habari imeishia hapo. Kwa mujibu wa chanzo changu ni ya Ukweli na Uhakika.
Last edited: