Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Atatoka Kaskazini mwa Tanzania, nimetathini na kutazama kwa makini na hali halisi iliyopo. Nafasi itapatikana ya walio WACHAFU kusafishwa ili WANG'AE na KUMETA. WASAFI Watachafuliwa ili wanuke uvundo... Kaskazini itaimbwa na kupandishwa kileleni na mwisho wa siku yuleyule aliyekuwa akiimbwa kwa maovu yake ATANYANYULIWA NA KUPAMBWA KILA AINA YA MAUA... ATAFAA!!!
Msishangae, niliwapa tathmini ya wapi tunakwenda baada ya uchaguzi (yameanza kutimia) sasa nimewapa hilo nalo mkae nalo na kutafakari (ni fumbo linaloeleweka)
Msishangae, niliwapa tathmini ya wapi tunakwenda baada ya uchaguzi (yameanza kutimia) sasa nimewapa hilo nalo mkae nalo na kutafakari (ni fumbo linaloeleweka)