Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #21
Basi uwe rais wa wanywa Dengerua pale Kigogo Landa Bar!.
Ohoo, we umepajuaje pale Landa Bar? Au ndo wewe ulitapika ugali na mchicha siku ile baada ya kulewa sana. Halafu siku hizi sikuoni mwenzetu. Au umepanda daraja na kuhamia kwenye vyupa?