hata huu ujumbe ameuleta online, anawataka wanaotumia technolojia hii wapige kura za zao, waonyeshe nani wataMpigia Kura, sasa kama wanaosoma huu ujumbe hapa JF hawana email hilo ni swala lingine Mkuu.
Mwanakijiji lakini Mbona Davutwa amesahaulika , huyu ni mgopmbea kupitia UPDP, pia Kuga Mziray
Kura ni siri yangu bwana. nitahakikishaje usalama wangu?
Napigisha kura ya maoni kuhusu mwelekeo wa wapiga kura. Naomba wale TU waliojiandikisha kupiga kura na wameshaamua kuwa watapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 2010 kujibu. Tafadhali ili jibu mara moja kwa kuandika jina la chaguo lako kwenye sehemu ya "Subject" la email yako. Usiandike kwenye ujumbe. Kura itafungwa Jumapili Oktoba 3, 2010
SWALI: Baada ya kufuatilia kampeni za Urais zinazoendelea nchini, ni nani atakuwa chaguo lako kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
- Mutamwega Mugahywa
- Prof. Ibrahim Lipumba
- Dr. Jakaya Kikwete
- Hashim Rungwe
- Dr. Wilbrod Slaa
TUMA JIBU LAKO KWA EMAIL YANGU HAPA CHINI. Ni majibu yatakayopatikana ndani ya siku hizi tatu TU ndiyo yatakayohesabiwa.
duh!! nilidhani tumepiga hatua kumbe bado. Nawashukuru wote mlio respond.
Napigisha kura ya maoni kuhusu mwelekeo wa wapiga kura. Naomba wale TU waliojiandikisha kupiga kura na wameshaamua kuwa watapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 2010 kujibu. Tafadhali ili jibu mara moja kwa kuandika jina la chaguo lako kwenye sehemu ya "Subject" la email yako. Usiandike kwenye ujumbe. Kura itafungwa Jumapili Oktoba 3, 2010
SWALI: Baada ya kufuatilia kampeni za Urais zinazoendelea nchini, ni nani atakuwa chaguo lako kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
TUMA JIBU LAKO KWA EMAIL YANGU HAPA CHINI. Ni majibu yatakayopatikana ndani ya siku hizi tatu TU ndiyo yatakayohesabiwa.
- Mutamwega Mugahywa
- Prof. Ibrahim Lipumba
- Dr. Jakaya Kikwete
- Hashim Rungwe
- Dr. Wilbrod Slaa
Sio tuu wanashinda, bali wataendelea kushinda!.naelewa kwanini mafisadi wanashinda..!
Napigisha kura ya maoni kuhusu mwelekeo wa wapiga kura. Naomba wale TU waliojiandikisha kupiga kura na wameshaamua kuwa watapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 2010 kujibu. Tafadhali ili jibu mara moja kwa kuandika jina la chaguo lako kwenye sehemu ya "Subject" la email yako. Usiandike kwenye ujumbe. Kura itafungwa Jumapili Oktoba 3, 2010
SWALI: Baada ya kufuatilia kampeni za Urais zinazoendelea nchini, ni nani atakuwa chaguo lako kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mwanakijiji, please do go this low.
TUMA JIBU LAKO KWA EMAIL YANGU HAPA CHINI. Ni majibu yatakayopatikana ndani ya siku hizi tatu TU ndiyo yatakayohesabiwa.
- Mutamwega Mugahywa
- Prof. Ibrahim Lipumba
- Dr. Jakaya Kikwete
- Hashim Rungwe
- Dr. Wilbrod Slaa
PM hairusiwi kwenye ID hii, siko hapa kutafuta urafiki niko kikazi zaidi ,0ctober /31/2010....Trace my IP Address for mo Infor!MMK, unataka kutu spy nini? nadhani hizo kura zitapingwa na wanafamilia yako tu.... Na subiria kwa taswiswi sana matokeo hayo ya kura za email
angalia waliorespond negatively then utajua ni kwa nini hatujapiga hatua!!!! coz' hata wao after 50 yrs hawajui kama wamegeukia kusi au mangharibi!!duh!! nilidhani tumepiga hatua kumbe bado. Nawashukuru wote mlio respond.
PM hairusiwi kwenye ID hii, siko hapa kutafuta urafiki niko kikazi zaidi ,0ctober /31/2010....Trace my IP Address for mo Infor!
MGANYIZI
kuna wakati huwa unafikiria na kuna wakati najisikia kama upo upo kama wale jamaa zertu wanaosemaga unanijia mimi ni nani? mimi ni usama wa taifa.kumbe anakaa kwa shemeji yake, mme wa dada yake.