Arabela n Madame B
Ruhazwe JR unajua ulivyoandika hapo juu? Umeandika hivi:
1:Cute
1:Charminglady
2:Madame B
2:Arabela
3:Nivea
3:Catherine
4reta
5:Yummy
5:King'asti.
Kwa akili ya kawaida unajaribu kuchanganya wapiga kura humu. Hebu angalia namba tu then utupe jibu.
Bulldog na my lawyer ruttashobolwa asante kwa kura zenu. nawaita mashostito wangu wa ukweli beibe nasty, lara 1 Elizabeth Dominic na cacico msinitupe jamani. dada zangu wa moyoni AshaDii, gfsonwin na snowhite kura zenu ni za muhimu kwangu. . .
Huyo Muandaaji wa Mashindano kaingia Chaka.
Tangu jana haonekani.
Halafu hajui Sheria, Kanuni na Taratibu za kuendesha mashindano ya Urembo.
Muandaaji amekosea Upangaji wa Magroup ya Washiriki.
Pia vilevile Muandaaji amekosea ktk Kipengele NO.1 Pale alipowatolea Mfano hai Washiriki wa Mashindano,
kuwa Group A flani na Group B flani.
Ingepaswa awatolee mfano huo watu wengine ambao si washiriki.
Kwa Udhaifu huo aliouonyesha yaonesha wazi kuwa Naye anashiriki wazi wazi ktk Kuchagua Mshindi, Ingawa Kisheria na Kiutaratibu hairuhuswi kabisa.
Muandaaji atabaki kuwa muandaaji na Wapiga kura watabaki kuwa Wapiga kura.
Asenteee!!
Tugangamareee Akina Washiriki.
Na Mwisho ningependa kuwakumbusha Ndugu wana ChitChat kuwa This is ChitChat na Mtu anaweza toa Lugha yoyote arimladi asivunje Sheria, kanuni na Taratibu za JF, Kama vile Matusi, Dhihaka, Vitisho au Lugha kali zenye kukera na Kuleta Mtazamo Hasi Baina ya Member na Member.
Lakini humu humu ChitChat kuna baadhi ya Member huwa niko nao Against nao wako nami Against yani kwa 0 degree au 0%,
So P'se kama unaona Madame B anakukera kutokana na sababu zako za Kinafiki na za Kizandiki ulizozaliwa nazo,
Kwanini Usini-Add ktk Ignore List yako?
Bofya pale then ni-Add then Click.
Wengine Tumezaliwa kwa Bahati Mbaya na Tunaishi kwa Makusudi.
Ukinikanyaga tu Nakulipulia Bomu Tumboni.
Msidhani Tumekuja Mjini kwa Mbio za Mwenge.
Nimekuja Mjini Tangu Bahari haijaanza Kuweka Mawimbi,hivyo Nina uwezo wa Kuishi hata Angani na Maisha yakasonga Vilevile.
Asanteni kwa kunielewa,
Nawapenda sana Wana-JF woooote,
Popote Pale Mlipo Nchini na Duniani kwa Ujumla.
Madame B.
Natanguliza samahani,lakini nachukua fursa hii kuwataalifu kuwa muda wa kupiga kura umeongezwa hadi kesho jumatatu saa mbili kamili jioni.Hii inatokana na makosa ambayo niliyasababisha,hivyo nimeona kufidia muda
Ahsanteni
1. Hakuna agenda yoyote zaidi ya kutenda haki Mr Advocate kuwa na amani*kwa nini ujaongeza washindani?
*Kuna Agenda umeificha?
*Una subiri nani apige kura?
*Je ni sababu zipi za kuongeza muda?
*kwa nini usiongeze masaa mawili ya kupiga kura?
*kwa nini nisiseme umepewa rushwa hili uongeze muda?
*unataka kura zifike ngapi?
*mshindi anapata zawadi gani?
1. Hakuna agenda yoyote zaidi ya kutenda haki Mr Advocate kuwa na amani
2. Sababu za kuongeza muda ni kutokana na malalamiko ya baadhi ya wapiga kura na washiriki kudai kuwa sikuweka mpangilio mzuri katika kuainisha makundi ya washiriki,hivyo baada ya kurekebisha imebidi kuongeza muda zaidi.
3. Masaa mawili haitoshi kwakuwa muda ambapo malalamiko yametolewa ukilinganisha na muda ambapo malalamiko yamefanyiwa kazi,masaa mawili hayatakuwa na uwiano.
4. Nimapema sana kuamini kuwa kuna rushwa inatembea ila kama unaushahidi ni vizuri ukasubiri mashindano kumalizika then ukakata rufaa kama wewe ni mshiriki
5. sina matashi ya idadi rasmi ya kura
6. mishindi atapewa zawadi ya muda wa maongezi kwa mtandao autumiao wenye thamani ya Tshs 5,000/=
Nadhani nimekujibu
pamoja kuwa kura yako inahesabika lakini ni vizuri ukasoma utaratibu wa kupiga kura then ukafanya marekebisho,usichoke mkuu