Piga kura kuhusu chadema na tanzania yako 2015-2020

Je Watanzania tunaihitaji CDM iunde serikali 2015?

  • hapana

    Votes: 0 0.0%
  • Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    23
  • Poll closed .

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Salamu sana watanzania...Tunatambua umuhimu wenu katika Taifa hili na wote tulipendalo Taifa letu la Tanzania...Pongezi kwa Watanzania,Wanasiasa na wasiowanasiasa....Tunakuombeni mpige kura katika kichwa cha habari hapo juu ili kuweza kukitadhinini chama ndani ya miaka 3 ijayo kabla ya uchaguzi mkuu 2015...Kura yako ni ya muhimu sana kwa hili...

Naombeni wote tutambue yakuwa Siasa ndio uchumi japo vyote vinashabihiana ila havikutani.....hivyo kura yako ni muhimu katika kujipanga zaidi.....

Wenu Mpenda maendeleo kamanda mpambanaji..
 
Shukran kwa kuleta mada iliyo mbele yetu ila naomba utambue sio wote wenye vyama mimi binafsi sichagui chama nachagua yule ambae anakubalika mfano kwenye kata yangu ninamchagua yule anaekubalika bila kujali anatoka chama gani anaweza kuwa anatoka chadema au NCCR - Mageuzi (mfano) kadhalika kwa nafasi ya mbunge na Rais.

Umesema siasa na uchumi havishabihiani napenda kukurekebisha kuwa vitu hivyo vinashabihiana sana na vyama vinavyofikiria kushika dola au vinavyoshika dola vina jukumu kuonyesha njia za kuimarisha uchumi ikiwa ndani ya vyama vyao (kwenye mapato na matumizi) au halmashauri wanazoziongoza (ikiwa ni wapinzani) na kwa chama tawala kama CCM wao ndio hasa inawahusu kwa kuangalia kwa ujumla uchumi wa nchi ulivyo na jitihada gani za makusudi ikiwamo maamuzi magumu ili kufikia malengo ya kuimarisha uchumi. 2015 ni mbali na pengine si mbali kama tunavyodhania kwahiyo kila chama kichukue changamoto la kuimarisha uchumi katika kipindi hiki kuelekea 2015.

Mwisho kabisa natoa pongezi zangu za dhati kwa Mbunge mteule wa Arumeru Mashariki kwa kuchaguliwa kwake na wananchi wa jimbo la Arumeru Mashariki. Wananchi wamekuamini ni matumaini yangu, watanzania kwa ujumla waliokupigia kura na ambao hawakukupigia kura jimbo kuwa utawawakilisha ipasavyo Bungeni na nje ya kubunge kutetea na kulinda maslahi ya Arumeru wanameru na watazanzania kwa ujumla.


Mohammed.
 
:yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo:
:A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::A S 112::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Shukran kwa kuleta mada iliyo mbele yetu ila naomba utambue sio wote wenye vyama mimi binafsi sichagui chama nachagua yule ambae anakubalika mfano kwenye kata yangu ninamchagua yule anaekubalika bila kujali anatoka chama gani anaweza kuwa anatoka chadema au NCCR - Mageuzi (mfano) kadhalika kwa nafasi ya mbunge na Rais.

Umesema siasa na uchumi havishabihiani napenda kukurekebisha kuwa vitu hivyo vinashabihiana sana na vyama vinavyofikiria kushika dola au vinavyoshika dola vina jukumu kuonyesha njia za kuimarisha uchumi ikiwa ndani ya vyama vyao (kwenye mapato na matumizi) au halmashauri wanazoziongoza (ikiwa ni wapinzani) na kwa chama tawala kama CCM wao ndio hasa inawahusu kwa kuangalia kwa ujumla uchumi wa nchi ulivyo na jitihada gani za makusudi ikiwamo maamuzi magumu ili kufikia malengo ya kuimarisha uchumi. 2015 ni mbali na pengine si mbali kama tunavyodhania kwahiyo kila chama kichukue changamoto la kuimarisha uchumi katika kipindi hiki kuelekea 2015.

Mwisho kabisa natoa pongezi zangu za dhati kwa Mbunge mteule wa Arumeru Mashariki kwa kuchaguliwa kwake na wananchi wa jimbo la Arumeru Mashariki. Wananchi wamekuamini ni matumaini yangu, watanzania kwa ujumla waliokupigia kura na ambao hawakukupigia kura jimbo kuwa utawawakilisha ipasavyo Bungeni na nje ya kubunge kutetea na kulinda maslahi ya Arumeru wanameru na watazanzania kwa ujumla.


Mohammed.

"UMENENA VIZURI " mr. Mohammed shossi
 
Back
Top Bottom