MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Salamu sana watanzania...Tunatambua umuhimu wenu katika Taifa hili na wote tulipendalo Taifa letu la Tanzania...Pongezi kwa Watanzania,Wanasiasa na wasiowanasiasa....Tunakuombeni mpige kura katika kichwa cha habari hapo juu ili kuweza kukitadhinini chama ndani ya miaka 3 ijayo kabla ya uchaguzi mkuu 2015...Kura yako ni ya muhimu sana kwa hili...
Naombeni wote tutambue yakuwa Siasa ndio uchumi japo vyote vinashabihiana ila havikutani.....hivyo kura yako ni muhimu katika kujipanga zaidi.....
Wenu Mpenda maendeleo kamanda mpambanaji..
Naombeni wote tutambue yakuwa Siasa ndio uchumi japo vyote vinashabihiana ila havikutani.....hivyo kura yako ni muhimu katika kujipanga zaidi.....
Wenu Mpenda maendeleo kamanda mpambanaji..