Pictures: Uwanja wa ndege Songwe - Mbeya waanza kutumika, ndege zaidi ya tatu zatua

Taratibu mkuu
Kwamba hata kukamilika na kufunguliwa ni ushindi mkubwa kwa watu wa Mbeya na mikoa inayaozunguka.

Uwanja huu umepigwa vita sana na viongozi wanaojulikana.
Waziri Mkuu aliyejiuzulu aliupiga mwara na kutokubali uwanja huu kutengewa fungu, na ndio maana ujenzi ulisimama kabisa.

Kwa suala kwamba uwanja una VUMBI nafikiri inabidi uende CCBRT kwa matatizo ya macho.

Kama wewe si mtaalam wa masuala ya usafiri wa anga inabidi ueleweshe kuwa ujenzi wa uwanja ni kitu kimoja, lakini uratibu wa matumizi ni fani nyingine kabisa!

Ni jana tu Mamlaka ya Usafiri wa anga nchini TCAA imetoa habari kwa ICAO (mamlaka ya usafiri wa anga dunia nzima), kwamba uwanja wa ndege Songwe upo tayari kwa matumizi.

Zaidi ya hapo , uwanja ni runway, runway ya Songwe ina urefu wa 3.3km , na ni ndefu zaidi hata ya DSM Int Airport.

Watu husema ROME was not build in one day, nakushangaa sana kwa lack of objectivity-kukataa maendeleo!


Umeandika kwa Authority kubwa sana ,lakini nikuambie Airport structure ni kitu muhimu pengine hata kuzidi hiyo runway unayoisifia , najiuliza inakuwaje jengo kama quality plaza lijengwe na mtu binafsi, halafu serikari pamoja na utitiri wahandisi ,resourses na exposure tele za viongozi wake ,inakuja na jibu la uwanja kama huo unao jisifia ,kauli za eti Rome haikujengwa kwa siku moja , kasungura haka kadogo , nchi hii ni changa n.k . zimekuwa zikitumiwa sana na viongozi walafi wakiendeleza madhambi yao. Kama Umetembea utakuja kugundua
kuwa hata hiyo JKIA yenyewe bado ni Kituko miongoni mwa Airport, kwa Taarifa tu ,Zama hizi ambapo Ugaidi ni tishio , Airline operators wanapenda kwenda sehemu ambazo hakuna security threat , Elewa kuwa ukiona boeing 747 britsh airways imetua KIA ,jua kuwa kwa wakati huo thamani ya hiyo ndege ni kubwa kushinda uwanja wenyewe! kimsingi operators wanamini most complex and expensive airports ni more secure na hivyo ni salama kwao na property zao, kwa mtindo huu wa airport kama songwe na watu kama wewe wa kujustfy maovu ! tutasubiri sana maendeleo,
 

MTWARA; Uwanja MPYA wa MABOKSI wa MBEYA; Uwanja wa DODOMA; Kigoma ATC 737 ilikuwa inakwenda
Sasa HAPO ni MIKOA 4 zaidi inaweza kutua BOEING ...


Wataleta
NDEGE ndogo PIA sababu Safari za KENYA hazijaanza Nairobi MOMBASA KISUMU na PIA KAMPALA ENTEBBE

Hapo kwenye red ,haitakuja kutokea, hiyo siyo kanuni ya uendeshaji wa low cost carries, sehemu nyingi LCC anaoperate kwa kutumia ndege zenye wastani wa abiria 150-200, Iko hivi ndege ndogo =abiria ni kidogo na hivyo hasara ,ndegge kubwa sana abiria 300 up ie.747 a380 ni ngumu kujaza abiria kwa wakati =less frequent flying hasara , Uichunguza kwa makini utagundua karibu LCC wote hutumia tools za aina moja. that is either boiing 737 series au airbus A319-20
 
Mie nashangaa serikali hii...viwanja vinavyo hudumia abiria wengi havitengenezwi mfano mwanza, wanakimbilia mbeya ambapo abiria hawafiki 500....serikali haijafikiri kabla ya kutenda....

Chezea siasa mdau, hicho kiwanja kiukweli kinasikitisha hasa wakati wa kupakua mizigo unaposhuka kwani kaeneo ni kadogo alafu papo local, huhitaji kuwa mchumi mwandamizi kugundua hili maana kikawaida pale ambapo tayari soko lipo unatakiwa kupaboresha katika kiwango cha juu maana Mwanza tayari soko la ndege lipo kwani kwa wiki mara 3 kuna ndege inakwenda Nairobi achilia hizi za Mwanza - Dar - Mwanza ambazo zenyewe tu zinashusha zaidi ya abiria 500.

Ila wameshampa mkandarasi kazi miezi 6 iliyopita na tayari amechukua advance 14 billion kwa kuutanua uwanja, kwa sasa wapo kwenye discussion ya kuhamisha ile barabara inayopita jirani na uwanja wa ndege (pale panatakiwa ijengwe terminal kama ya Dar maana idadi ya abiria ni wengi sasa ukiongeza na hii ya fastjet ambayo inabeba abiria 140 nadhani hali inakuwa mbaya pindi inaposhuka.
 
Dodoma haikuwahi kutua Boeing 737, ndege ambayo ilikuwa inatua ni Forker na ile ya serikali Jet maana nilikuwa naishi hatua jirani na uwanja wakati ndege ikitua ilikuwa ni nadra kukosa kusogea eneo la tukio kushangaa, nimekuwepo mji ule tangu nipo underground na uwanja si mrefu kivile kuweza kurusha Boeing

SABAYA
, uwanja wa Mtwara kuna kipindi Boeing ilikuwa inatua, kwa uwanja wa Dodoma ndege kubwa kutua uwanja ule ilikuwa ni ya mizigo ilikuja kuchukua ndege ya rais wa serikali ya zanzibar ilikuwa imeharibika hivyo ikaja kubebwa kwa matengenezo hata hivyo hiyo ndege ilitua kwa shida kwa timing ya kuanza kutua mwanzo kabisa mwa uwanja which means kama angeshindwa angepitiliza Chadulu na kugonga nyumba za watu, otherwise umenikumbusha mbali those days nilipokuwa Dodoma

Hivi ndege inaweza kuingia kwenye ndege nyingine? hebu fafanua ilikuja kubebwa vp? au ilivutwa?
 
Nilitegemea kuona zaidi ya nilichoona! Kwa kifupi uwanja haujaisha bado!!! Hayo majengo mbona kama nyumba zetu tunazojijengea? Sielewi kabisa!!!
 
Tanzania inaogopesha, kweli huu ndo uwanja uliochukua takribani miaka zaidi ya saba kukamilika?
 
Umeandika kwa Authority kubwa sana ,lakini nikuambie Airport structure ni kitu muhimu pengine hata kuzidi hiyo runway unayoisifia , najiuliza inakuwaje jengo kama quality plaza lijengwe na mtu binafsi, halafu serikari pamoja na utitiri wahandisi ,resourses na exposure tele za viongozi wake ,inakuja na jibu la uwanja kama huo unao jisifia ,kauli za eti Rome haikujengwa kwa siku moja , kasungura haka kadogo , nchi hii ni changa n.k . zimekuwa zikitumiwa sana na viongozi walafi wakiendeleza madhambi yao. Kama Umetembea utakuja kugundua
kuwa hata hiyo JKIA yenyewe bado ni Kituko miongoni mwa Airport, kwa Taarifa tu ,Zama hizi ambapo Ugaidi ni tishio , Airline operators wanapenda kwenda sehemu ambazo hakuna security threat , Elewa kuwa ukiona boeing 747 britsh airways imetua KIA ,jua kuwa kwa wakati huo thamani ya hiyo ndege ni kubwa kushinda uwanja wenyewe! kimsingi operators wanamini most complex and expensive airports ni more secure na hivyo ni salama kwao na property zao, kwa mtindo huu wa airport kama songwe na watu kama wewe wa kujustfy maovu ! tutasubiri sana maendeleo,
Mkuu pengine uelezwe in black and white, kuna viongozi katika mtandao waliupiga vita uwanja huo usijengwe kabisa.
Fedha za mradi huo zilianza kufanyiwa mkakati ziende kujenga uwanja wa kimataifa Arusha.
Vita hiyo iliongozwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, kwa sababu binafsi.

Hakuna maelezo mengine ya kina yatakayoondoa ukweli huo.
 
Hapana, kwa kuanzia si vibaya. Kule nyuma kuna jengo la uwanja linaendelea kujengwa, kila kitu kitakuwa humo. Tusibeze kinachoonekana, navijua viwanja vya ndege vya mikoani, ni vibaya mno. Mara mbili mawaziri wakuu (Malechela na Sumaye) waliwahi kushindwa kuruka katika uwanja wa ndege wa Sumbawanga baada ya matairi kutitia kwenye matope! So, this is achievement, najua wengi mnalinganisha na JNIA au Doha au Dubai, but for our case ni afadhali tuanze na hapo kuliko kuchukua the whole day on the road!
 
Umeandika kwa Authority kubwa sana ,lakini nikuambie Airport structure ni kitu muhimu pengine hata kuzidi hiyo runway unayoisifia , najiuliza inakuwaje jengo kama quality plaza lijengwe na mtu binafsi, halafu serikari pamoja na utitiri wahandisi ,resourses na exposure tele za viongozi wake ,inakuja na jibu la uwanja kama huo unao jisifia ,kauli za eti Rome haikujengwa kwa siku moja , kasungura haka kadogo , nchi hii ni changa n.k . zimekuwa zikitumiwa sana na viongozi walafi wakiendeleza madhambi yao. Kama Umetembea utakuja kugundua
kuwa hata hiyo JKIA yenyewe bado ni Kituko miongoni mwa Airport, kwa Taarifa tu ,Zama hizi ambapo Ugaidi ni tishio , Airline operators wanapenda kwenda sehemu ambazo hakuna security threat , Elewa kuwa ukiona boeing 747 britsh airways imetua KIA ,jua kuwa kwa wakati huo thamani ya hiyo ndege ni kubwa kushinda uwanja wenyewe! kimsingi operators wanamini most complex and expensive airports ni more secure na hivyo ni salama kwao na property zao, kwa mtindo huu wa airport kama songwe na watu kama wewe wa kujustfy maovu ! tutasubiri sana maendeleo,
Facts are always an autority, na si vinginevyo.
Dispute the facts ndipo unaweza kuondoa authority, as simple as that.

Na baada ya kusema hayo hebu ji-orient katika jumuisho lako ili ueleweke unachobisha.
Je uwanja wa Mbeya si 3.3 km ambayo ni international standard?
Na je Dar JKIA si 3.0 km?
Na kama unafahamu vizuri weka facts za kudispute hilo.

For ease of reference:
Source: IATA Dr es alaam Aiport(Julius Nyerere Int Airport)

Runways
Direction
(ft/m)
Surface


05/23
9,842
3,000
Asphalt
14/32
3,280
1,000
Asphalt
 
Frankly speaking EL hakutakiwa kuja Mbeya kwa sababu yoyote ile maana ni Adui wa maendeleo ya Mbeya
Big up Mwandosya kwa kuupigania huu uwanja sasa mikoba kwako Mwakyembe ukileta longolongo ata ubunge 2015 itakula kwako.
Umuhimu wa Songwe airport ni zaidi ya huo wa mwanza bse unaongelea uwanja ambao utaserve SADCC countries jamani sasa bse umekuja jengwa late mnaanza leta zarau.Apa twaongelea landlocked countries kama Malawi Zambia DRC wafanyabiashara wake kwao hii ni fursa kubwa sana
 
hivi hapa ndo umekamilika? siamini macho yangu, nilidhani ni mashamba ya ngano unavoelekea uyole
 
Frankly speaking EL hakutakiwa kuja Mbeya kwa sababu yoyote ile maana ni Adui wa maendeleo ya Mbeya
Big up Mwandosya kwa kuupigania huu uwanja sasa mikoba kwako Mwakyembe ukileta longolongo ata ubunge 2015 itakula kwako.
Umuhimu wa Songwe airport ni zaidi ya huo wa mwanza bse unaongelea uwanja ambao utaserve SADCC countries jamani sasa bse umekuja jengwa late mnaanza leta zarau.Apa twaongelea landlocked countries kama Malawi Zambia DRC wafanyabiashara wake kwao hii ni fursa kubwa sana

We naona una ubinafsi...na unasikiliza propaganda tu eti uwanja una umuhimu kwa SADC?? Mwanza ni mji wa pili kwa ukubwa na wingi wa watu...ni mji uliokati ya east africa..karibu na rwanda burundi ug kenya na hata kinshansa... Halafu unapokea abiria wengi sana baada ya kia na jkia sasa iweje wajenge uwanja mbeya ambapo hata abiria 500 sidhani kama wanafika... Wanaacha boresha viwanja vyenye umuhimu?? Imagine majengo ya mwanza ni sawa na nyumba za watu wa kawaida...chekini wenzetu wakenya walivyo endeleza viwanja vyao kama eldoret, nairobi na mombasa....sie tulipaswa endeleza viwanja vya dar kilimanjaro na mwanza viwe vya kisasa zaidi
 
Facts are always an autority, na si vinginevyo.
Dispute the facts ndipo unaweza kuondoa authority, as simple as that.

Na baada ya kusema hayo hebu ji-orient katika jumuisho lako ili ueleweke unachobisha.
Je uwanja wa Mbeya si 3.3 km ambayo ni international standard?
Na je Dar JKIA si 3.0 km?
Na kama unafahamu vizuri weka facts za kudispute hilo.

For ease of reference:
Source: IATA Dr es alaam Aiport(Julius Nyerere Int Airport)

Runways
Direction
(ft/m)
Surface


05/23
9,842
3,000
Asphalt
14/32
3,280
1,000
Asphalt

Kaka unadhani huo urefu wa runway 3.3 ndio kutaufanya uwanja uwe standard? Sikubisha urefu wa runway . Point yangu ni kuwa katika dunia ya sasa majengo kama hayo huwezi ita Airport ya jiji. Dunia ya sasa unapoamua kujenga structure kama airport mpya kama hiyo tungetegemea ingejengwa kwa ubora pengine kuliko JKIA ! Kujenga vitu substandard hata kama kuna influence za kisiasa, ni kujicheleweshea maendeleo tu! Kituko kingine kipo km 80 tu kutoka hapo songwe nazungumzia Tunduma border post .ambayo ni mpya kabisa ! Linganisha na ujenzi wa Zambia border post utaona madudu ya watanzania. Wenzetu walipomua kujenga border post wamejenga one stop border post ambayo ni standard ya majengo ya border. Kwa maoni yangu majengo ya uwanja huo hayana tofauti na nyumba ya mtu binafsi!.
 
Kaka unadhani huo urefu wa runway 3.3 ndio kutaufanya uwanja uwe standard? Sikubisha urefu wa runway . Point yangu ni kuwa katika dunia ya sasa majengo kama hayo huwezi ita Airport ya jiji. Dunia ya sasa unapoamua kujenga structure kama airport mpya kama hiyo tungetegemea ingejengwa kwa ubora pengine kuliko JKIA ! Kujenga vitu substandard hata kama kuna influence za kisiasa, ni kujicheleweshea maendeleo tu! Kituko kingine kipo km 80 tu kutoka hapo songwe nazungumzia Tunduma border post .ambayo ni mpya kabisa ! Linganisha na ujenzi wa Zambia border post utaona madudu ya watanzania. Wenzetu walipomua kujenga border post wamejenga one stop border post ambayo ni standard ya majengo ya border. Kwa maoni yangu majengo ya uwanja huo hayana tofauti na nyumba ya mtu binafsi!.

Kaka upo sahihi kabisa...ni sawa na kujenga nyumba ya mtu binafsi...ni aibu kwa taifa lenye utajiri wa mali kiasi hiki na kuibuka na vijengo vya aibu na kuita airport ya kimataifa...mngesema ya mkoa ningewaelewa
 
Hivi ndege inaweza kuingia kwenye ndege nyingine? hebu fafanua ilikuja kubebwa vp? au ilivutwa?

Inaingia bila shida na ile ndege ilikuwa jet lakini si kubwa sana, Kuna baadhi ya vitu vinaondolewa kama mabawa inabaki lile bodi ndio linavutwa kuingizwa ndani ya ndege ya mizigo ambayo kwa nyuma kunakuwa na mlango mkubwa. Kitu kikaruka na mzigo (ndege) ikiwa ndani kama vile minofu ya samaki ilivyokuwa inabebwa Mwanza na si kuvutwa (ni zoezi linachukua siku kadhaa maana kuna kazi ya kuondoa baadhi ya vitu na kubaki lile bodi tu na vitu vingine vinaingia kimoja kimoja
 
Baada ya Miaka Mitatu utasikia limetengwa fungu la kuupanua huo uwanja
Hii ndo bongo bwana

Bongo kila kitu ni temporary, hakuna kujenga kitu na kuweka angalau life span hata 20 years, ataibuka mtu mwingine hapo atasema tunajenga uwanja mwingine mkubwa zaidi ya huo maeneo ya Mbalizi. Si tumeona hata ukumbi wa bunge pale Dodoma, walijenga ukumbi mzuri tu baada ya muda kupita hata 10 years haikupita wakaja na huu ukumbi unaotumika sasa (kichekesho hapa angalia ukumbi wa wenzetu jirani Kenya au hata Uingereza jinsi wanavyokaa ndani kisha linganisha na mapato wanayokusanya alafu njoo kwetu angalia ukumbi wetu jinsi ulivyo n linganisha na makusanyo yetu utagundua wale ambao wanamakusanyo mazuri na budget yao haitegemei kwa kiwango kikubwa nchi wahisani wana ukumbi wa kawaida (Kenya) alafu sie tulionyuma bonge ya ukumbi)
 
Back
Top Bottom