Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
Hawa tayari wamepita 2015 kwenye majimbo!Ila tu wagombee kupitia chama kingine sio chamagamba!Kampeni yao tumeiona natunaithamini.
Suala si kupita tena uchaguzi ujao, ila utekelezaji na uwajibikaji katika kipindi walipo bungeni kutetea wapiga kura wao.