ndugu wana jf,
kijana kwenye hiyo picha anafahamika kama godwin allen uisso, mkazi wa tabata msimbazi( lakini sasa hivi amehama na nyumba aliyokuwa anakaa) na simu yake haipatikani toka wiki iliyo pita na ya mke wake pia,,,, majirani na wapangaji wenzake wamekiri kuwa alikuwa na tabia ya utapeli asili yake ni tarakea rombo
sasa story ni hivi, mimi nilimkabidhi pikipiki yangu t-better namba t935bua rangi nyekundu kwa makubaliano ya kuleta hesabu kila wiki...na ndio katokomea nayo kusikojulikana...anatafutwa kwa rb no.ob/rb/19001/2012
anakopenda kutembelea
1. Kigogo mwisho pale darajani
2. Tabata
3. Kimara
4. Mbagala
naomba yeyote atakaye muona atusaidie kumkamata na kutoa taarifa kituo cha polisi kilichopo jirani au piga simu namba.0719 575791,,,zawadi nono itatolewa
asanteni