Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Nani mzoefu wa kusoma picha atuambie huyu mtu mashuhuri anayeongozwa ni kiongozi mtarajiwa wa nchi gani barani Afrika.
Hapa akiwasili katika ziara rasmi akikabidhiwa bunch of flours.
nani mzoefu wa kusoma picha atuambie huyu mtu mashuhuri anayeongozwa ni kiongozi mtarajiwa wa nchi gani barani afrika.
hapa akiwasili katika ziara rasmi akikabidhiwa bunch of flours.
mwibara!
Ashakum so matusi.... Lazma jamaa walikua wanaogopa
Pata picha rais wa nchi ndio anakagua gwaride la hesima hivyo, huu ndio ukakamavu wa mkuu wanchi unaotakiwa?
kama haoni au hao wanyama ndivyo walivyo.Hiyo ya kwanza lakini, jamaa nahisi ana shida ya macho! Mbona anatembea kama haoni?
Nani mzoefu wa kusoma picha atuambie huyu mtu mashuhuri anayeongozwa ni kiongozi mtarajiwa wa nchi gani barani Afrika.
Hapa akiwasili katika ziara rasmi akikabidhiwa bunch of flours.
nani mzoefu wa kusoma picha atuambie huyu mtu mashuhuri anayeongozwa ni kiongozi mtarajiwa wa nchi gani barani afrika.
hapa akiwasili katika ziara rasmi akikabidhiwa bunch of flours.
pesa ingezidi kushuka thamani mara mia ya sasaNajaribu kutafakari kama huyu bwana ndiye angekua ni Raisi halafu picha yake iko kwenye Noti sijui ingekuaje!