Tulishampa dhamana akaprove UTOVU WA MAADILI.... Tunataka tumpeleke ikulu akaprove nn?.......Kwani ikulu ni sehemu ya majaribio?
Kufanya kosa ni UJINGA kurudia kosa ni UPUMBAVU.
Siamini kama watanzania wako jayari kuwa WAPUMBAVU kwa kumchagua huyu jamaa.
Hapa naomba nimtetee kidogo mzee wangu huyu fisadi aliyelazimika kujiuzulu uwaziri mkuu kutokana na ushiriki wake katika kashfa ya RICHMOND!
photoshop at work ..hajawahi kuvaa mauchafu haya lowassa..
photoshop at work ..hajawahi kuvaa mauchafu haya lowassa..
Nafuta kauli kwenye hansadi kwamba havai barkashia, kumbe yumo na kanzu kasoro koti juu. Siasa si mchezo unatakiwa mtu uishi kama huna akili timamu vile, maana ukiwa na ile kitu tunasema personal identification for Imani mambo hayaendi.
............ kasome Biblia ujue vazi takatifu ! "Kanzu, suruali ya kitani na mshipi kiunoni" ndio maana akina Pengo wanavaa !photoshop at work ..hajawahi kuvaa mauchafu haya lowassa..
mimi namuona mzee huyu anatafuta huruma ya watanzania ili aweze kuepuka kuwajibishwa iwapo madaraka yakimuendea rais mkorofi mwenye nia na uwezo wa kupambana na mafisadi.
Nyie mnaoshabikia huyu jamaa kuwa rais 2015, hivi hamjui kuwa huyu jamaa ni balaa kwa ukwapuzi? Kakwapua akiwa nafasi ndogo tu serikalini, vipi akiwa amiri jeshi?
Lakini hata afanyeje, urais atausikia redioni tuuuu, NEC ikimpitisha tu CCM inagawanyika, wenye maadili mema wataondoka, majangili ndo yatabaki. Kumbuka 2015 kutakuwa na tume huru, sidhani kama huyu jamaa ni tajiri kiasi cha kuhonga watz wote.
Nguruwe kaingia Msikitini!
I can never vote for this dude!!!
kura yako moja haina maana. atashinda tu kwa asilimia kubwa, hata ukiongeza hicho kikura chako kimoja kazi bure
Ningeshangaa kama huyu bwana asingejibiwa hapa.....
Jamaa ana mbinu za medani acha kabisa ..yaani huyu ni stratergist hatari sana
Mbona yeye sera yake ni elimu kwanza!ilo ndo jembe bwana tena kilimo kwanza!